Mswada wa sheria ya kuunda Baraza la Usalama wa Taifa wakataliwa!

Muswada unapelekwa na Sophia Simba huyu huyu mutoto wa mujini anayefahamika? Lazima uwe rejected! Ni magumashi matupu hayo.
Yeye anausoma tu kama waziri mwenye dhamana na chombo hiki kinachotarajia kuundwa na muswada huu ukishakuwa sheria. Waandaji ni wengine. Niliona akiishukuru wizara ya Katiba na Sheria nikajua umekamilika. Nikamwona na Mzee Lubeleje naye akiusifia!
 
Yeye anausoma tu kama waziri mwenye dhamana na chombo hiki kinachotarajia kuundwa na muswada huu ukishakuwa sheria. Waandaji ni wengine. Niliona akiishukuru wizara ya Katiba na Sheria nikajua umekamilika. Nikamwona na Mzee Lubeleje naye akiusifia!
ni hivi Waziri anapaswa kuusoma wote na kuuelewa kabla ya kuwasilishwa bungeni, maana ni yeye anayepaswa kuutetea Bungeni, anapaswa kuclear all doubts, hii itamuweezesha kuwa makini, .....Simba atapata wapi muda wa kusoma maandishi wakati Jahazi morden sijui morden wako lango la jiji.
 
Awali ya yote napenda mshukuru Mungu kwa kutupa nafasi yakuchangia mawazo yetu ktk jamii. Ndugu msomi nasikitika natumia sim ktk kuandika mada yangu soo tuvumiliane pale mpango wangu hautokuwa mzuri.

Leo ktk bunge na ktk kile hakikutegewe mh Simba alijikuta ktk wakati mgumu nakugundua kumbe bungeni sio kama ktk vikao vya Nec. Tìhetihetiheti! Kwa wale tulikuwa tupo makini tangu jana kusubiria bunge ambalo lilianza saa tatu asubuh, mh Simba akiwa mwenye nguvu nakujiamini huku akiwa ametinga vazi lenye moja ya rangi za bendera ya ccm huku akijiamin kama kada alijikuta akiwasilisha hoja isiyo na kichwa,miguu,mkia na macho, tihetihe! hehehehe!

Jambo la kushangaza mh meja gene Gwiliza alimpa live kuwa kile amekileta hakina akili na nikama kujenga kamati za majungu ktk usalama. Mh Gwiliza alimpa live kuwa anaupinga nakumshangaa, kwa wale walifuwatilia Mh Dk slaa alimchana kiasi bunge lili rindima kwa makofi, bila kumuogopa au kujali nini mh Slaa akusita kuupinga kwakusema uwondolewe nakwenda kujadiliwa tena ktk hizo kamati. Ktk kile ambacho nadhani nikumdharau nakumuona hana uwezo wakutafakari, nakutoa maamuzi na ange faa kuwa mama kichen Pat.

Ilifika nafasi ya Mh malecela, jamani mzee na mh malecela alimpa live huyu mwanamama na kumwambia tangu awe ktk siasa ajawah ona sheria yanamna hiyo. Malecela aliutumia muda vizuri kumsulubu kisiasa na kwa wale wanaojuwa maswala ya siasa kilichokuwa kinafanyika nikumwanika huyu mwana mama mh sofia simba mbele ya Mh Rais kuwa hana uwezo ktk wizara anaiongoza, pili mwanasheria alijikuta viwango na speed yake vikiwa vya kobe maana alichanwa live na mmoja wa wabunge jinsi kuna makosa yakiuwandish wa kisheria, mh shelukindo aliamua kumshughulikia mwanasheria mkuu kwakumfunza jinsi yauwandish wa sheria na kwa kweli mh warema alijikuta amepigwa gazi asiseme kitu.

Jamani kwa ujumla leo Mh Simba amejuwa kumbe serikali sio uchekibobu nakupiga vijembe.

General nadhani huu niuwaziri wake wa mwisho na kwa habari zakwenye kapeti ndio mwisho wa hilo jina ktk serikali. Atapewa kaz nyingine. Ila uwaziri labda akasome upya nakujirekebisha. Kiujumla bunge limemsulubu na amejuta cku ya leo!
 
Jamiiforums wakati mwengine.....

Yaani ninyi hamjausoma muswada wenyewe na kuupima katika mizania ya Tanzania tunayoitaka na kuipigia kelele kila siku hapa, mnakimbilia ku-uhukumu mradi kwa sababu eti wamemuonyesha mnayemuona kuwa "mtetezi wa mafisadi" Waziri Sophia Simba.

Nimefutalia sehemu ya mjadala huo leo live ingawa nilichelewa na kukuta wachangiaji wa tatu wa mwisho ambao ni MZEE SHELUKINDO, MZEE SLAA na MZEE MALECELA. Wote hawa walionekana kuunga mkono hoja ya MZEE NGWILIZI (Bregadia Jenerali Mstaafu) ambaye sikupata bahati ya kumsikiliza hoja yake. Lakini kwa mujibu wa WAZEE wenzake niliowataja hapo juu, mswada huu unapunguza nguvu za rais kwa kumuundia alichokiita KONGAMANO kutokana na wongi wa wana baraza (wapatao kumi na ushehe) na kutaka upigwaji kura wa kupitisha maamuzi.

Kwao wao hawa ambao naamini mtizamo wao bado umegubikwa katika fikira za chama kimoja na umuhimu wa kulinda utamaduni walojiwekea wa maamuzi ya wateule wachache, kitendo cha mswada huo kushurutisha maamuzi ya baraza la usalama wa taifa kuwa ya kupigiwa kura na rais kuwa mmojawapo wa wapiga kura ni kuhatarisha usalama wa taifa. Naamini mtizamo wao umejengeka katika mentality ya enzi za chama kimoja zaidi ya utashi wa kujenga Tanzania ya miaka hamsini ijayo, kazi tunayotakiwa kuianza sasa hivi...

Wapinzani nao ambao nilitegemea wangeuchukulia mswada huu kama ushindi kwa wenye mtazamo kwamba RAIS ana madaraka makubwa ya kumfanya kuweza kuwa dikteta kwa mujibu wa katiba na pia muswada huu ni sehemu mojawapo muhimu ya kubadili mfumo na utendaji wa asasi za usalama wa taifa kama ambavyo wapinzani wamekuwa wakipigia kelele milele amina, wameingia mtegoni kuukanyaga mswada huu.

Hii ipo Tanzania tu ambapo Rais aliyekuwepo madarakani akiongoza serikali ya chama kimoja chenye nguvu kama ilivyo CCM anakuwa tayari kuwa na sheria inayomfunga kamba katika maamuzi ya "usalama wa Taifa" lakini wanatokea wapinzani kuupinga.

Naamini kuwa ni kweli yapo mambo ya kuuboresha muswada huo lakini sio kuukanyagakanyaga kama walivyofanya WAZEE wetu hawa eti tu kumuonyesha "adui" wao kuwa wao pia wananguvu....

Hata hivyo hongera kwa MZEE SHELUKINDO kwa kudhihirisha umuhimu wake wa kuhakiksiha umakini wa matumizi ya lugha katika sheria zetu.

PIa pongezi kwa MZEE SLAA kwa kuweza kutumia sera ya chama chake ya kudhibiti nguvu za serikali kuu katika ngazi za serikali za mitaa kama alivytoa hoja yake ya kumuingiza mkurugenzi wa wilaya ambaye ni mdau wa serikali za mitaaa badaala ya Mkuu Wa Wilaya ambaye ni extension ya serikali kuu.

Ndugu zangu nashauri mtafute mswada huu ambao si wa siri kama dhana iliyojengeka hapa na kuupitia kwa umakini na kuupima katika mizania ya maendeleo ya demokrasia nchini na pia Tanzania tuitakayo...Vilevile ni muhimu kupata hansard ya majadiliano ya mswada huo ikiwemo taarifa ya kamati husika kuhusu muswada huo ili kung'amua kuwa kama muswada huo umepingwa kwa sbabau za mapungufu yake kikatiba, kimitazamo ama ndiyo MUHANGA mwengine wa "VITA YA UFISADI"

omarilyas
 
Yeye simba nadhani ni mwakilishi tu wa huo muswada. Vichwa vyenyewe havipo pale, labda AG
 
Kwani miswada si public documents au? Ukwapi huo mswada jamani?
 
Jamiiforums wakati mwengine.....

Yaani ninyi hamjausoma muswada wenyewe na kuupima katika mizania ya Tanzania tunayoitaka na kuipigia kelele kila siku hapa, mnakimbilia ku-uhukumu mradi kwa sababu eti wamemuonyesha mnayemuona kuwa "mtetezi wa mafisadi" Waziri Sophia Simba.

Nimefutalia sehemu ya mjadala huo leo live ingawa nilichelewa na kukuta wachangiaji wa tatu wa mwisho ambao ni MZEE SHELUKINDO, MZEE SLAA na MZEE MALECELA. Wote hawa walionekana kuunga mkono hoja ya MZEE NGWILIZI (Bregadia Jenerali Mstaafu) ambaye sikupata bahati ya kumsikiliza hoja yake. Lakini kwa mujibu wa WAZEE wenzake niliowataja hapo juu, mswada huu unapunguza nguvu za rais kwa kumuundia alichokiita KONGAMANO kutokana na wongi wa wana baraza (wapatao kumi na ushehe) na kutaka upigwaji kura wa kupitisha maamuzi.

Kwao wao hawa ambao naamini mtizamo wao bado umegubikwa katika fikira za chama kimoja na umuhimu wa kulinda utamaduni walojiwekea wa maamuzi ya wateule wachache, kitendo cha mswada huo kushurutisha maamuzi ya baraza la usalama wa taifa kuwa ya kupigiwa kura na rais kuwa mmojawapo wa wapiga kura ni kuhatarisha usalama wa taifa. Naamini mtizamo wao umejengeka katika mentality ya enzi za chama kimoja zaidi ya utashi wa kujenga Tanzania ya miaka hamsini ijayo, kazi tunayotakiwa kuianza sasa hivi...

Wapinzani nao ambao nilitegemea wangeuchukulia mswada huu kama ushindi kwa wenye mtazamo kwamba RAIS ana madaraka makubwa ya kumfanya kuweza kuwa dikteta kwa mujibu wa katiba na pia muswada huu ni sehemu mojawapo muhimu ya kubadili mfumo na utendaji wa asasi za usalama wa taifa kama ambavyo wapinzani wamekuwa wakipigia kelele milele amina, wameingia mtegoni kuukanyaga mswada huu.

Hii ipo Tanzania tu ambapo Rais aliyekuwepo madarakani akiongoza serikali ya chama kimoja chenye nguvu kama ilivyo CCM anakuwa tayari kuwa na sheria inayomfunga kamba katika maamuzi ya "usalama wa Taifa" lakini wanatokea wapinzani kuupinga.

Naamini kuwa ni kweli yapo mambo ya kuuboresha muswada huo lakini sio kuukanyagakanyaga kama walivyofanya WAZEE wetu hawa eti tu kumuonyesha "adui" wao kuwa wao pia wananguvu....

Hata hivyo hongera kwa MZEE SHELUKINDO kwa kudhihirisha umuhimu wake wa kuhakiksiha umakini wa matumizi ya lugha katika sheria zetu.

PIa pongezi kwa MZEE SLAA kwa kuweza kutumia sera ya chama chake ya kudhibiti nguvu za serikali kuu katika ngazi za serikali za mitaa kama alivytoa hoja yake ya kumuingiza mkurugenzi wa wilaya ambaye ni mdau wa serikali za mitaaa badaala ya Mkuu Wa Wilaya ambaye ni extension ya serikali kuu.

Ndugu zangu nashauri mtafute mswada huu ambao si wa siri kama dhana iliyojengeka hapa na kuupitia kwa umakini na kuupima katika mizania ya maendeleo ya demokrasia nchini na pia Tanzania tuitakayo...Vilevile ni muhimu kupata hansard ya majadiliano ya mswada huo ikiwemo taarifa ya kamati husika kuhusu muswada huo ili kung'amua kuwa kama muswada huo umepingwa kwa sbabau za mapungufu yake kikatiba, kimitazamo ama ndiyo MUHANGA mwengine wa "VITA YA UFISADI"

omarilyas

Ndg umechangia vyema. Lakini, nadhani haujafuatilia mjadala mzima wa suala hili. Hata wewe unabashili tu. Masuala ya usalama wa taifa, hayahitaji kuwa na zengwe kubwa la watu wa kuyashughulikia, kama Baraza. kwa mujibu wa wachangiaji wa muswada kama umefuatilia, unaonyesha hakuna hata vigezo vilivyowekwa vya watu wanaotakiwa waingie katika baraza hilo la usalama wa nchi.

kwa mfano, usishangae kusikia Mh sophia Simba ni mjumbe, sasa, unategemea siri gani hapo!. Pia mswada unamkanganyo juu ya nguvu ya baraza linalotarajiwa kuundwa nk.

kamati imeagizwa ikafanye homework yake tena!
 
ni hivi Waziri anapaswa kuusoma wote na kuuelewa kabla ya kuwasilishwa bungeni, maana ni yeye anayepaswa kuutetea Bungeni, anapaswa kuclear all doubts, hii itamuweezesha kuwa makini, .....Simba atapata wapi muda wa kusoma maandishi wakati Jahazi morden sijui morden wako lango la jiji.


teh teh teh. Umenena!
 
Hivi kuna mtu anaweza kuiandika hii habari kwa lugha ya taifa?

Wengine tuko shamba hatuelewi Kiswahili cha mitaani na hasa cha Dar.
 
Awali ya yote napenda mshukuru Mungu kwa kutupa nafasi yakuchangia mawazo yetu ktk jamii. Ndugu msomi nasikitika natumia sim ktk kuandika mada yangu soo tuvumiliane pale mpango wangu hautokuwa mzuri. Leo ktk bunge na ktk kile hakikutegewe mh Simba alijikuta ktk wakati mgumu nakugundua kumbe bungeni sio kama ktk vikao vya Nec. Tìhetihetiheti! Kwa wale tulikuwa tupo makini tangu jana kusubiria bunge ambalo lilianza saa tatu asubuh, mh Simba akiwa mwenye nguvu nakujiamini huku akiwa ametinga vazi lenye moja ya rangi za bendera ya ccm huku akijiamin kama kada alijikuta akiwasilisha hoja isiyo na kichwa,miguu,mkia na macho, tihetihe! hehehehe! Jambo lakushangaza mh meja gene Gwiliza alimpa live kuwa kile amekileta hakina akili na nikama kujenga kamati za majungu ktk usalama. Mh Gwiliza alimpa live kuwa anaupinga nakumshangaa, kwa wale walifuwatilia Mh Dk slaa alimchana kiasi bunge lili rindima kwa makofi, bila kumuogopa au kujali nini mh Slaa akusita kuupinga kwakusema uwondolewe nakwenda kujadiliwa tena ktk hizo kamati. Ktk kile ambacho nadhani nikumdharau nakumuona hana uwezo wakutafakari, nakutoa maamuzi na ange faa kuwa mama kichen Pat. Ilifika nafasi ya Mh malecela, jamani mzee na mh malecela alimpa live huyu mwanamama na kumwambia tangu awe ktk siasa ajawah ona sheria yanamna hiyo. Malecela aliutumia muda vizuri kumsulubu kisiasa na kwa wale wanaojuwa maswala ya siasa kilichokuwa kinafanyika nikumwanika huyu mwana mama mh sofia simba mbele ya Mh Rais kuwa hana uwezo ktk wizara anaiongoza, pili mwanasheria alijikuta viwango na speed yake vikiwa vya kobe maana alichanwa live na mmoja wa wabunge jinsi kuna makosa yakiuwandish wa kisheria, mh shelukindo aliamua kumshughulikia mwanasheria mkuu kwakumfunza jinsi yauwandish wa sheria na kwa kweli mh warema alijikuta amepigwa gazi asiseme kitu. Jamani kwa ujumla leo Mh Simba amejuwa kumbe serikali sio uchekibobu nakupiga vijembe. General nadhani huu niuwaziri wake wa mwisho na kwa habari zakwenye kapeti ndio mwisho wa hilo jina ktk serikali. Atapewa kaz nyingine. Ila uwaziri labda akasome upya nakujirekebisha. Kiujumla bunge limemsulubu na amejuta cku ya leo!

Editing will cost you nothing,pia unaweza kuiweka habari kwenye mtiririko "Unaofaa"
 
Kumbukeni kuna MASHANGINGI YA CCM. Sofia Simba ana qualifications zote za ushangingi wa chama chake. Sina maana ya ukahaba la hasha nina maana ya kushabikia kitu ambacho hakukifanyia utafiti hiii ndiyo tabia ya huyu mama (shangingi la chama). Wakati wa hoja za MAFISADI Sofia yeye aliinuka kwa kujiamini kama alivyojiamini kuwasilisha muswada wa usalama wa Taifa, na kuwaponda wale wote waliokuwa mbele kupinga vitendo vya kifisadi na wengine akawaambia wanapinga ufisadi kwa vile wameukosa u-first lady. Huyo mama anafaa kwenye sherehe za kictchen party
 
Mkuu, muswada wenyewe ulihusu nini hasa, labda tukifahamu itasaidia kujua kama alitendewa haki kupondwa au la, si unajua tena bongo siasa za visasi?
 
hiyo inasikitisha; wadau wenyewe wa usalama wa taifa hata kuulizwa hatujaulizwa licha ya kuwa ndio wakosoaji wa kwanza na wakubwa? Wangeuleta hapa uchambuliwe na mabingwa waliojazana hapa badala ya kuufanya ni siri yao..

Mkuu MMKJJ nakuunga mkono na miguu pia!
Ni heri Serikali ikatambua kuwa wadau wa usalama wa Taifa ni watu wenyewe, kila mTanzania na hasa kila mzalendo!
Kutengeneza mambo katika vikao vya siri na kuvileta hadharani, hasa baada ya kutengenezwa na watu wa caliber ya Mh Simba ambaye upana wa uelewa wake tayari una matatizo ya kimsingi ni kuhatarisha usalama wenyewe wa nchi.
 
Mkuu MMKJJ nakuunga mkono na miguu pia!
Ni heri Serikali ikatambua kuwa wadau wa usalama wa Taifa ni watu wenyewe, kila mTanzania na hasa kila mzalendo!
Kutengeneza mambo katika vikao vya siri na kuvileta hadharani, hasa baada ya kutengenezwa na watu wa caliber ya Mh Simba ambaye upana wa uelewa wake tayari una matatizo ya kimsingi ni kuhatarisha usalama wenyewe wa nchi.
Kweli mkuu.JF sio wavivu wa kusoma na naamini wapo watu na asasi nyingi wenye uwezo wa kutoa michango ya maana katka kuboresha miswada nyeti kama hiyo. Hivi kama ni wajumbe kumi wa usalama, bila kuwa na vigezo vya nani ataingia ndani ya hao wajumbe kumi, mtu akiamua kujaza marafiki zake wa calibre ya saigoni tutanufaika na nini?
Suala la usalama wa Taifa ni nyeti na ni la watanzania wote. Sio suala la wale tu wanatuwakilisha katika nafasi zao. Lazima wote tutoe michango ya kizalendo ya kuboresha ustawi wa Taifa hili kama tunataka huu ubabaishaji uishe.
 
Duuh, kila siku ni stori za yule yule waziri wa utawala bora. Hizi ndio siasa za bongo.Hazina kichwa wala mguu maana kama mtu amepwaya na bado yuko kazini inamaanisha nini?
 
Ni point gani muhimu zilizomo katika hii proposed "National Security Council Bill 2009"? Mliosikiliza bungeni tafadhalini tuandikie summary ya chapchap hapa.

PS: yaani kama ningekuwa bongo ninge record midahalo ya Bunge na kuweka highlights za Bunge on youtube.
 
Back
Top Bottom