Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #81
Sina cha kuongeza ni ugonjwa huu omba usikukute unakataa dawa nyingi tu, wakati mwingine hupati dawa kabisa
...lol...Elia kila mara nikiirudia hii post yako nacheka,....!
Mbu we acha tu, saa nyingine akipiga namsikiliza namjibu tu ndio ndio mradi tu aridhike kwani sitaki kuanzisha uadui sasa binti yangu ameshakua mkubwa inaweza kumuathiri, na akiamua kumchukua sina pa kwenda kupinga kwani umri unaruhusu basi ndio hapo anapopatia kwa sababu anajua nampenda sana mtoto wangu and she is the only one i have sina mtoto mwingine masikini mie ndio ukimjibu hovyo tu anaanza naenda kumchukua nikae nae mwenyewe so inabidi nakua tu mpole, na hivi hayumo moyoni mwangu basi akishamaliza maongezi yake na mimi namsahau hapo hapo,
Halafu cha ajabu mtoto anakaa boarding ila huku mkoani ninakoishi sasa kila baada ya siku tatu simu ushaenda kumuona mtoto? jamani huyo mtoto anaonwa kila siku? Kaazi kweli kweli wandugu ila ukishakua mtu mzima kidogo ina unafuu
...dahhh, Maty sasa huo ni usumbufu usiokuwa na lazima. Yaani 'msukule' wewe anakukeep busy uwazie jinsi ya kumjibu routine ya simu kila baada ya siku tatu? ama hakutakii mema huyo. Ni aheri muda mwingine ku ignore hizo simu na kupokea wiki kwa wiki.
Mbu hapo anakuwa kashakujua na you know anakujua udhaifu wako na wewe ulivyo so anatake advantage ya wewe kuwa vile ili azidi kukutumia na with time na unavyozidi kukasirika anajua tuu hutoacha kupokea simu zake wala sms zake hutoacha kuzijibu
LOL, Mr Rocky you must have been there,...inputs zako zinaelezea hali halisi. Halafu kitu kibaya ni kwamba, jinsi anavyokuudhi nawe kuzidi kumchukia, ndivyo anavyoanza kukuganda tena kichwani....Pheewwww, what a miserable life!
...hhhahhaaaa hha, MR Rocky bana, ukweli unauma bana...! LOL...uloyaongea ni kweli tupu, angalia kina Maty, Nyamayao, Bebiii, Mbimbinho et al wanavyougulia!