Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #21
nimetoka kupokea call yake sasa hivi, mama yake mgonjwa sana, leo ndio nimeweza japo kuongea nae na dk kadhaa otherwise namchukia kwa usumbufu wake.
...haya sasa, huo usumbufu ndio ninaouchukia mimi kiasi hata yale ya kiubinadamu yanafunikwa na machungu.
Mfano, anakupigia simu (kwa namba usiyoijua/private number) wakati umelala la mkeo/mumeo...unapokea kwa bahati mbaya halafu anaanza story ndeeeefu za kuuguliwa, hali ilivyo mbaya nk nk...kiasi ya huyo aliye pembeni anakushangaa.
It's Only attention seeking na kuingilia mipaka ya mahusiano mapya. Inaudhi sana!
Sorry i can never seem to narrow things down.... hasa kama imenigusa/inanihusu.... thus the long post....
Mbu Mapenzi kitu cha ajabu saana na kweli kabisa hayana adabu…. For ukiwa in love, yenyewe pamoja na huyo abuser (who in most cases anakua hana mapenzi ya kweli) ndio yanakuendesha… Kwa kuzingatia hio term ya Emotional Rollercoaster … Ubaya ni kwamba kama mhusika bado una feelings za Ex wako… hata apewe ushauri gani atakubali NDIO but yet still itapofika Yule ex akajitokeza na kumsumbua ana rudi hali ile ile ya unyonge na kubulutwaa… hio tokana na ukweli kwamba hawezi control hizo feelings…. Uzuri tu ni kwamba hata abuluzwe namna gani iko siku yeye mwenyewe mhusika atatia akili (time hu vary… kua sasa basin a hatavumilia upuuzi wowote toka kwa huyo ex.
From experience… Kwa wanao nifahamu kwa ukaribu… hapo nyuma I was a Great example wa "Msukule wa Mapenzi"…. Usiombe… Nilikua naambiwa but yakawa yanaingilia sikio moja na kutokea linguine… But nilikuja vumbua mwenyewe!!! Huyo ex nimezaa nae but imepita hata three years toka tuliwasiliana/onana mpaka tu juzi kati kwenye matatizo ya misiba....
Well done AshaDii. Hapo penye kusema basi, wengi ndipo inapowachukua muda mrefu kujitambua wanaburuzwa!
Can you share the tips, ulifanyaje fanyaje mpaka ukafanikiwa kukata mawasiliano muda mrefu hivyo?