"Msukule" wa Mapenzi...

nimetoka kupokea call yake sasa hivi, mama yake mgonjwa sana, leo ndio nimeweza japo kuongea nae na dk kadhaa otherwise namchukia kwa usumbufu wake.

...haya sasa, huo usumbufu ndio ninaouchukia mimi kiasi hata yale ya kiubinadamu yanafunikwa na machungu.
Mfano, anakupigia simu (kwa namba usiyoijua/private number) wakati umelala la mkeo/mumeo...unapokea kwa bahati mbaya halafu anaanza story ndeeeefu za kuuguliwa, hali ilivyo mbaya nk nk...kiasi ya huyo aliye pembeni anakushangaa.

It's Only attention seeking na kuingilia mipaka ya mahusiano mapya. Inaudhi sana!


Sorry i can never seem to narrow things down.... hasa kama imenigusa/inanihusu.... thus the long post....

Mbu Mapenzi kitu cha ajabu saana na kweli kabisa hayana adabu…. For ukiwa in love, yenyewe pamoja na huyo abuser (who in most cases anakua hana mapenzi ya kweli) ndio yanakuendesha… Kwa kuzingatia hio term ya Emotional Rollercoaster … Ubaya ni kwamba kama mhusika bado una feelings za Ex wako… hata apewe ushauri gani atakubali NDIO but yet still itapofika Yule ex akajitokeza na kumsumbua ana rudi hali ile ile ya unyonge na kubulutwaa… hio tokana na ukweli kwamba hawezi control hizo feelings…. Uzuri tu ni kwamba hata abuluzwe namna gani iko siku yeye mwenyewe mhusika atatia akili (time hu vary…) kua sasa basin a hatavumilia upuuzi wowote toka kwa huyo ex.

From experience… Kwa wanao nifahamu kwa ukaribu… hapo nyuma I was a Great example wa "Msukule wa Mapenzi"…. Usiombe… Nilikua naambiwa but yakawa yanaingilia sikio moja na kutokea linguine… But nilikuja vumbua mwenyewe!!! Huyo ex nimezaa nae but imepita hata three years toka tuliwasiliana/onana mpaka tu juzi kati kwenye matatizo ya misiba....

Well done AshaDii. Hapo penye kusema basi, wengi ndipo inapowachukua muda mrefu kujitambua wanaburuzwa!
Can you share the tips, ulifanyaje fanyaje mpaka ukafanikiwa kukata mawasiliano muda mrefu hivyo?
 
VOR kuna watu waelewa ambao wanaelewa unapowaambia mwisho wa kunipigia simu may be ni saa mbili za usiku na baada ya hapo sipokei tena calls au kutuma sms. Ila mkuu kuna watu hata uwashikie bastola kuwaelewasha hayo hawakuelewi. Especially mtu anapotaka kile anachotaka kitumizwe. Ikishakuw aamekujulisha kuwa atakupigia baadae na ukakubali kwake yeye haimaanishi lolote kuw ani usiku au ataharibu uhusiano wako au sio muda muafaka wa kupiga simu. Sio wote ni waelewa mkuu na sio wote wanakubaliana na kile wewe unachotaka. Mtu kama ni mtafuataji wa attention kutoka kwa mtu hatajali kama anakukasirisha au anaingilia hata privacy yako

Basi hapo kama hatuna kitu kinachotuunganisha kama mtoto (Basi nitamuogopa kama ukoma) sababu hataki kujenga bali anataka kubomoa; kama kuna kitu cha kutuunganisha kama mtoto basi tamwambia mwenza wangu kwamba Ex wangu ana matatizo makubwa lakini hakuna jinsi sababu tuna mtoto pamoja kwahiyo akipiga simu hata mwenza wangu anaweza akapokea kuchukua ujumbe, au kama ni usiku naweza kuweka namba yake kwenye Screening List hata ikipigwa basi sitaisikia lakini taona missed call later ndio naweza kumpigia na kumuuliza kama kila kitu kipo shwari
 
Kusaidia katika shida siyo mbaya,ila kuwa mwangalifu hasa kama ana mahusiano mengine.

Ulimakafu kusaidiana hatukatai hasa kukiwa na ulazima wa kufanya hayo. kama kwenye ugonjwa au hatari zinazompata mtu hapo hatukatai. Ila tunaloliona limeenda mbali ni pale mtu anapotaka umpe muda wa kutosha katika maisha yako as if mko pamoja. Utake your time to call her au kumtumia sms au kumliwaza wakati amepata matatizo ambayo may be hata sio wewe umeyasababisha hapo sasa inakuwa imezidi
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Basi hapo kama hatuna kitu kinachotuunganisha kama mtoto (Basi nitamuogopa kama ukoma) sababu hataki kujenga bali anataka kubomoa; kama kuna kitu cha kutuunganisha kama mtoto basi tamwambia mwenza wangu kwamba Ex wangu ana matatizo makubwa lakini hakuna jinsi sababu tuna mtoto pamoja kwahiyo akipiga simu hata mwenza wangu anaweza akapokea kuchukua ujumbe, au kama ni usiku naweza kuweka namba yake kwenye Screening List hata ikipigwa basi sitaisikia lakini taona missed call later ndio naweza kumpigia na kumuuliza kama kila kitu kipo shwari

VOR hapo sawa nakupata kwa option yako na kw auchaguzi wako. Ila elewa hata mwenza wako uliye nae kuna kipindi atachoka maana ataona kuwa ndio kweli huyu alikuwa Ex wake. Isije ikawa hapa ananidanganya kupokea simu au kupokea ujumbe tuu ujnaopigwa usiku kumbe mchana wana mawasiliano ambayo sio ya kawaida. Hapo pia kuwa makini sana
 
.
Well done AshaDii. Hapo penye kusema basi, wengi ndipo inapowachukua muda mrefu kujitambua wanaburuzwa!
Can you share the tips, ulifanyaje fanyaje mpaka ukafanikiwa kukata mawasiliano muda mrefu hivyo?


Mbu it is not that simple... hakuna formula kua inatakiwa ufanye hivi ili kurealise unaburuzwa... it just happens... Na once tulitengana ilinichukua a year kukubali it is for the best and took me almost two years to fall out of love na kumuona kama ni mtu tu wa kawaida.... Hivo time ndio best healer...
 
Okay kama mimi bado nina-feelings kwake na yeye ana feelings kwangu ndio maana ananisumbua basi maybe tulifanya kosa kuachana na maybe we should have worked out our problems and stayed together

VOR imeshatokea mmeachana na wewe u have your own life na yeye ana her own life. What binds you together ni kuwa mlishakuwa na life la pamoja. Ili wewe usiharibu hapa ulipo na yeye asiharibu pale alipo njia bora si kuseek attention ambayo itawaharibia ila ni kukaa na kujaribu kuwa mbali na kila mmoja na kila mmoja akiangalia ustaarabu wa maisha yake
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Okay kama mimi bado nina-feelings kwake na yeye ana feelings kwangu ndio maana ananisumbua basi maybe tulifanya kosa kuachana na maybe we should have worked out our problems and stayed together


Na kuna ex couples zipo hivo.... waliachana, then labda mmoja wao pride ilikua hurt hakutaka kusamehe.... at the end huko mbeleni the still feel for each other... hua inasumbua saana na kua unfair kwa wapenzi wao wapya...

Ila tatizo ni kama mmoja bado anapenda hali mwingine has moved on....
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mbu.....hiyo ya kunical na no niczozijua coz anajua ya kwake cwez kupokea(leo pia amecal na no nicyoijua) ndio inanikera zaidi zaidi, kuna cku alinical nipo na msukuma tunaelekea kuwajibika, unajua ile mtu anaanza na salamu ndefu maelezo mengi na hujamjua bado, unabakia unamuuliza mwenzangu nani, anakuuliza/eleza cjui nn na nn na nn, msukuma pembeni anahic unaongea kwa wacwac, inaniletea shida sana sana, unakacrikiwa kucpo na lazima..na maswali yacyo na lazima...anakuharibia cku kabisa......kweli inaudhi sana.
 
Na kuna ex couples zipo hivo.... waliachana, then labda mmoja wao pride ilikua hurt hakutaka kusamehe.... at the end huko mbeleni the still feel for each other... hua inasumbua saana na kua unfair kwa wapenzi wao wapya...

Ila tatizo ni kama mmoja bado anapenda hali mwingine has moved on....

Ashadii hapo inakuwa ngumu sana kuhide zile feelings hasa mnapokutana wakati huo may be kila mmoja ana mwenza.
It is hard to hide feelings towards each other mnapokutana. Ila sasa ngumu ni kuwa pale unapokuta mmoja ndio anazo mwingine hamna na mmekutana ni ile issue ya kuhama mahali hata kama ni sehem ya starehe
 
Mimi sipendi kuchezeana akili...yani mtu mmeshaachana bado anakusumbua tena mwingine makusudi kuona kama bado unamfeel au utachanyikiwa vipi!!
Salamu mara moja moja siyo mbaya...
 
Ashadii hapo inakuwa ngumu sana kuhide zile feelings hasa mnapokutana wakati huo may be kila mmoja ana mwenza.
It is hard to hide feelings towards each other mnapokutana. Ila sasa ngumu ni kuwa pale unapokuta mmoja ndio anazo mwingine hamna na mmekutana ni ile issue ya kuhama mahali hata kama ni sehem ya starehe


Umeeona eeeh?? That is why nimesema kua inakua Unfair kwa wenza wapya... Inaumiza kweli yaani.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Utumwa na utegemezi wa hisia!Unapompa mtu mamlaka ya kukuamulia ujisikieje ni hatari sana kwani wewe ni mtumwa kwake,akiwa na hasira roho juu,asipopokea simu unajistukia,ukimpigia sim asipocheka kwenye mazungumzo yenu inakuwa kazi,n.k....Kama yanakutokea hayo na mengine ya kufanana na hayo jua hayo sio mapenzi bali utumwa,Upendo wa kweli pale unapokuwa na maamuzi yako mwenyewe namna unavyotaka kujisikia,nje ya hapo ni matatizo!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
VOR hapo sawa nakupata kwa option yako na kw auchaguzi wako. Ila elewa hata mwenza wako uliye nae kuna kipindi atachoka maana ataona kuwa ndio kweli huyu alikuwa Ex wake. Isije ikawa hapa ananidanganya kupokea simu au kupokea ujumbe tuu ujnaopigwa usiku kumbe mchana wana mawasiliano ambayo sio ya kawaida. Hapo pia kuwa makini sana

hapo mie ndipo panaponitia matatizoni kila wakati, na x ndio ametumia kama kigezo, anafanya kwa kusudi la kuharibu/kunipotezea amani, ni ngumu sana kila cku kumweleza mwenza wako kwamb ni salamu tu, cjui nn na nn na akakuelewa, kweli inakera sana...Mbu nae cjui ametokea wapi na hii thread leo.
 
hapo mie ndipo panaponitia matatizoni kila wakati, na x ndio ametumia kama kigezo, anafanya kwa kusudi la kuharibu/kunipotezea amani, ni ngumu sana kila cku kumweleza mwenza wako kwamb ni salamu tu, cjui nn na nn na akakuelewa, kweli inakera sana...Mbu nae cjui ametokea wapi na hii thread leo.

Inakuwa ngumu sana kila siku wewe ni kujustfy hapana ilikuw asalam tuu au ilikuwa ananiambia kuhusu ugonjwa au habari za mtoto. Sasa iwe kila siku. Mwenza wako lazima nae atadoubt kuwa kuna something fishy kinaendelea sio salam tuu
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Basi hapo kama hatuna kitu kinachotuunganisha kama mtoto (Basi nitamuogopa kama ukoma) sababu hataki kujenga bali anataka kubomoa; kama kuna kitu cha kutuunganisha kama mtoto basi tamwambia mwenza wangu kwamba Ex wangu ana matatizo makubwa lakini hakuna jinsi sababu tuna mtoto pamoja kwahiyo akipiga simu hata mwenza wangu anaweza akapokea kuchukua ujumbe, au kama ni usiku naweza kuweka namba yake kwenye Screening List hata ikipigwa basi sitaisikia lakini taona missed call later ndio naweza kumpigia na kumuuliza kama kila kitu kipo shwari

...Nice one, ni bora kuwa muwazi kwa mweznza wako mpya kuyaepusha haya.


Okay kama mimi bado nina-feelings kwake na yeye ana feelings kwangu ndio maana ananisumbua basi maybe tulifanya kosa kuachana na maybe we should have worked out our problems and stayed together

VoR mybrother you never learn ee? tunazungumzia emotional roller coaster hapa, kwamba nia na madhumuni ya huyo anayekufanyia hivyo anajua ulimpenda sana, akakutumia ipasavyo na anaujua udhaifu wako.

Kwakuwa mmeachana, anatumia udhaifu ule ule [kwamba anajua ulimpenda sana,] kuamsha hisia zako -si za mapenzi- ila huruma ambayo anajua itazaa tena mapenzi akutumie tena kukuumiza. Learn bro, it's a circle. Hayo si mapenzi...it's Emotional Roller coaster- "Msukule!"
 

...Nice one, ni bora kuwa muwazi kwa mweznza wako mpya kuyaepusha haya.




VoR mybrother you never learn ee? tunazungumzia emotional roller coaster hapa, kwamba nia na madhumuni ya huyo anayekufanyia hivyo anajua ulimpenda sana, akakutumia ipasavyo na anaujua udhaifu wako.

Kwakuwa mmeachana, anatumia udhaifu ule ule [kwamba anajua ulimpenda sana,] kuamsha hisia zako -si za mapenzi- ila huruma ambayo anajua itazaa tena mapenzi akutumie tena kukuumiza. Learn bro, it's a circle. Hayo si mapenzi...it's Emotional Roller coaster- "Msukule!"

Mbu naona VOR hajajua kuwa hapa unatumika na unatumiwa. Kuseek attentio kwake sio kwamba hajui hilo anajua fika kuwa mliachana na kila mmoja ana maisha yake na kila mmoja ana mwenza wake may be ila anakutumia tuu. Na anajua ni wapi atakupata na wapi ashike karata yake na aiplay vipi
 
Back
Top Bottom