AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
chadema chadema chadema,
msijipe moyo kuwa mtashinda arumeru mashariki,watanzania ni watu wa ajabu sana,labda niwakumbushe kidogo wakati kashfa kuu kwa serikali ya richmond kulikuwa na uchaguzi wa ubunge tunduma na ccm yenye kashfa ikashinda,tukiwa kwenye hali mbaya kiuchumi,kisiasa na kashfa kede uchaguzi mkuu 2010 watanzania walimchagua jk na ccm yake kwa zaidi ya asilimia 60,juzi juzi igunga pamoja na matatizo yote waliyonayo magamba bado watanzania wakaichagua ccm,uzini nayo mmejionea,watanzania watanzania watanzania ni nani awakomboe.ndugu zangu siwakatishi tamaa ila msishangae ccm ikiibuka na ushindi mnono arumeru mashariki wananchi wa tanzania ndivyo walivyo bado hawako tayari kukombolewa.
msijipe moyo kuwa mtashinda arumeru mashariki,watanzania ni watu wa ajabu sana,labda niwakumbushe kidogo wakati kashfa kuu kwa serikali ya richmond kulikuwa na uchaguzi wa ubunge tunduma na ccm yenye kashfa ikashinda,tukiwa kwenye hali mbaya kiuchumi,kisiasa na kashfa kede uchaguzi mkuu 2010 watanzania walimchagua jk na ccm yake kwa zaidi ya asilimia 60,juzi juzi igunga pamoja na matatizo yote waliyonayo magamba bado watanzania wakaichagua ccm,uzini nayo mmejionea,watanzania watanzania watanzania ni nani awakomboe.ndugu zangu siwakatishi tamaa ila msishangae ccm ikiibuka na ushindi mnono arumeru mashariki wananchi wa tanzania ndivyo walivyo bado hawako tayari kukombolewa.