Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
CCM ina nafasi kubwa ya ushindi kwa sababu CHADEMA wameingia kwenye uchaguzi huo bila kudai kuboreshwa daftari la NEC la wapiga kura!Kumbuka vijana waliokuwa na miaka 16 mwaka 2010 sasa wana miaka 18 na wangekuwa na haki ya kupiga kura,na inajulikana kuwa vijana ni wafuasi wa upinzani kwa hiyo bila kuwaandikisha hawa upinzani umezikosa kura maelfu za vijana!
CCM wao wanajivunia base yao ya wazee na wanawake wasiopenda mabadiliko;na tukumbekeni kuwa ngome yao ya wapiga kura haijatingishwa na kitachaofanyika sasa ni kuwabadili tu mawazo toka kwa Sumari marehemu kuja kwa mtoto wake na kama Lowassa ataweka mkono wake wa pesa jimbo kiurahisi kabisa linarudi CCM
Sijajua hadi leo kwa nn CHADEMA hawajapigia kelele NEC kuhusu kuandikishwa kwa wapiga kura waliofikisha umri kabla ya uchaguzi huu ila najua April baada ya matokeo ndiyo watalizungumzia suala hili!
CCM wao wanajivunia base yao ya wazee na wanawake wasiopenda mabadiliko;na tukumbekeni kuwa ngome yao ya wapiga kura haijatingishwa na kitachaofanyika sasa ni kuwabadili tu mawazo toka kwa Sumari marehemu kuja kwa mtoto wake na kama Lowassa ataweka mkono wake wa pesa jimbo kiurahisi kabisa linarudi CCM
Sijajua hadi leo kwa nn CHADEMA hawajapigia kelele NEC kuhusu kuandikishwa kwa wapiga kura waliofikisha umri kabla ya uchaguzi huu ila najua April baada ya matokeo ndiyo watalizungumzia suala hili!