Nadhan wanaunga mkono kuondoka na au kubaki kwa ASSAD!!
Hili swali MEMBE ANGEJIBU HIVI: NI KUONDOKA.........then kwenye ufafanuzi akibwana atasema alikuwa akimaanisha KUONDOKA KWA WAASI then akiwa na mabalozi atasema ni KUONDOKA kwa ASSAD kama nilivyosema mwanzoni
Take:TUMWACHE ASSAD AWAMALIZE HAWA RAIA MANAKE US+NATO wakiingia waislam wanaongea sana sasa ASSAD GO ON WAMALIZE WAARABU
Wewe unabifu na chuki dhidi ya waislam. Hivi unaona kuwa NATO kubomowa kwa mabomu sehemu ya libya ambayo wanaishi raia na kuua watoto ni kutetea haki za binaadam? NAKUOMBA UTOE MAELEZO KUHUSU JESHI WA NATO KUUWA WA AFGHAN 17 wakiwemo watu wazima wanawake na watoto, ni sawa hiyo? Mbona NATO inavamia sehemu yenye intrest zake binafsi? USA wali accused kuwa Saddam ana weapons of mass destruction, mbona walipomuua hawajituonesha? Na nani alokua akimsaidia saddam kupigana na iran? YOU HAVE BEEN BRAINWASHED!! Pole sana