Alphaking2023
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 2,093
- 2,121
Sasa umuache wa nini kwani yeye ndo aliyekutongoza?
Msemelezee kwa baba yako mzazi. Kama huna baba msemelezee kwa mama yako amgombeze
Nitumie namba yake huku uwani nikusaidie kazi hatokufata tena nipe masaa 3 tu kazi namaliza
Jifumanishe tuKuna msichana mmoja niko nae kaning'ang'ania. Nimeshamwambia twende taratibu lakini yeye ana kasi sana, mara ananiita mume. Wakati bado nataka tuchunguzane kwanza. Yaani kajaa matumaini mpaka nashangaa yaani ameshajua kama mi ndio namuoa.
Nifanye ili nimuache?Ushauri
siku hizi maisha yamekuwa magumu sana.