Aristidi selestin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 384
- 57
ukishikwa shikamana
Kuna msichana mmoja niko nae kaning'ang'ania. Nimeshamwambia twende taratibu lakini yeye ana kasi sana, mara ananiita mume. Wakati bado nataka tuchunguzane kwanza. Yaani kajaa matumaini mpaka nashangaa yaani ameshajua kama mi ndio namuoa.
Nifanye ili nimuache?Ushauri
Umeiona Ile Mada Yangu Ya "Are U In Relationship As Marriage Or Just Entertainment"??? Ebu Ingia Kwny Huo Uzi. Acha Kuwa Fisadi Wa Mapenzi
Msemelezee kwa baba yako mzazi. Kama huna baba msemelezee kwa mama yako amgombeze
Huko kumchunguza ni miaka mingapi ??
Kama wewe ndio ulimtongoza kwanini umchunguze ??
kwani umemkuta bikira huyo ??
kwani kukuita mume ni tatizo mkuu, kuna jamaa Hapo mlango wa pili analalamika kuitwa "WEWE", Au kuna sababu nyingine???. Au humpendi tu? Ushamchoka? Au sio mwaminifu kwako,? unataka mwanamke akufanyie nini ujue anakupenda,?? Au mwenzio ana focus Ndoa, wewe ni Hit and Run?? Kwanini upo katika mahusiano?? Aisee Kama humpendi Mdada wa watu, usimpotezee muda, mwache, wapo wanaoelewa Kwanini wapo katika mahusiano watamuelewa.
Huyo dawa yake mbona ndogo
We mpe sugari guru halafu changanya na mboga ya mgagani mwambie aweke kwenye papuchi kwa muda wa Masaa 48..halafu mpande kama beberu uone kama atakusumbua tena na wewe kama utamchunguza tena zaidi ya kutangaza ndoa tu kwa utamu wa mgagani..
Msemelezee kwa baba yako mzazi. Kama huna baba msemelezee kwa mama yako amgombeze
Aiseee----- wewe
unadate na ili iweje???????
unaosha rungu tu na dada zako wanatumia kama karai kunawia mikono hivyo hivyo
----- wewe
aka ki-tilapia
Ana kiu ya kuolewa huyo, wanawake wengi huwa na kasumba ya kujificha nyuma ya mapenzi lakini ukweli hawana mapenzi ya dhati na mtu isipokuwa wanataka kutimiza adhma yao ya kuolewa ili kuficha fedheha ya kukaa bila kuolewa au kukomesha maex walioachana bila kuoana au kaona fursa kwako na wakati mwingine Huwa na nia ya dhati.Kuna msichana mmoja niko nae kaning'ang'ania. Nimeshamwambia twende taratibu lakini yeye ana kasi sana, mara ananiita mume. Wakati bado nataka tuchunguzane kwanza. Yaani kajaa matumaini mpaka nashangaa yaani ameshajua kama mi ndio namuoa.
Nifanye ili nimuache?Ushauri