Wapo nnao wawili wameongezewa hvyooKuna watu wameongezewa 12,000 yaan elfu kumi na mbili...... kweli mama ameupiga mwingi.
HahahahZimeshakua kazi za kutombanisha mijusi tu shit.
Hongera kwa kupewa nyongeza ya mshahara ya ELFU ISHIRINI.Nimeshareport apigwe burn, asidhanie kila mtu muhuni humu
Hujawahi kutombanisha mijusi?
Utajua weweew!!!Acha kazi,kazi kulialia tu
Akili hazielewi...23.3 kima cha chini
Ni kiswahili kigumu au hesabu ngumu?
Jibu swali langu basi.Akili hazielewi
Logic ni kuwa, hiki anachosema amekiongeza mnagawana naye pasu kwa pasu kupitia hii tozo mpya ya miamala.Tutajua harujuhi,na kaongeza na tozo kwenye mihamara ya benk
Zimeshakua kazi za kutombanisha mijusi tu shit.
Mkeka umechanikaMara paap,, uchaguzi huu hapa
Mama mi5 tena
MbapuHii nchi ina watu wa ajabu sana!
Wakati wengine wanalilia waajiriwe wengine wanadharau nyongeza ya mshahara
Kumbuka kidogo kilichoongezwa ni kwa idadi kubwa ya watu na kitakuwa endelevu, kwa mwaka mzima kitakuwa ni kiasi kingi kimeongezeka kwenye bajeti ya serikali
Mimi nipo private, hua naongezewa salary laki tatu ikishuka sana laki mbiliHongera kwa kupewa nyongeza ya mshahara ya ELFU ISHIRINI.
We unanifundisha heshima kama nani? Napost nachojisikia na hakuna kitu chochote utafanya.Kichwa kama tozo wewe.Sawa ila uwe na heshima katika maneno yako
23%Tupe hesabu ya kima cha chini basi.
mkwereeeeeeeeeeeeeeeeeenani yupo nyuma ya haya yote?