Nimechoka kupita maelezo.
Watumishi tukutane mapema.
Malalamiko tu hamtaki kulima, kulipa kodi, hamtaki kufanya biashara, hamtaki tukope na mna lalamikia miradi ya kimkakati sasa mna taka pesa itoke wapi? Je wewe binafsi unazalisha nini au ni mtumiaji!