MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Jana kama kawaida yako ya kupenda Kujimwambafai na kujifanya unajua Mambo wakati Kiuhalisia huna ukijuacho kwa Kujiamini Kwako Kipuuzi ulisema (na nasikitika waliokuwepo Ukiwadanganya) walikuamini uliposema kuwa Msimu ujao Simba SC ndiyo itaanza Kucheza hatua za mwanzo Mechi za Klabu Bingwa Afrika na Yanga SC itashiriki hatua za mbele kwakuwa ndiyo watakuwa Mabingwa wa NBC Premier League 2021 / 2022.
Haji Manara kwa hili la Yanga SC kuwa Bingwa wa Ligi Kuu hata Mimi MINOCYCLINE nisiwe Mnafiki na sikubishii kuwa nyie Yanga SC mna 90% za kuwa Mabingwa na msipolichukua nitawashangaa hadi naingia Kaburini kwani mna kila dalili za kuwa Mabingwa wapya.
Haji Manara leo Concern yangu Kuu Kwako ni kutaka Kukupinga na Uongo wako ulioutoa Jana mbele ya Waandishi wa Habari katika Press yako na nasikitika kwa Umbumbumbu Wao na Wao wakakuamini pamoja na wana Yanga SC wote.
Sasa Haji Manara leo MINOCYCLINE nakupa Ufafanuzi juu ya hilo na pia nakufundisha Kufikiri ili Siku zingine usiwe Juha ( Zuzu ) kama ambavyo ulivyo sasa japo Mwenyewe unajiona ni Bonge la Mjanja wakati kumbe ni Mshamba Mwandamizi uliyeko Jangwani (Yanga SC).
Ipo hivi kwakuwa Klabu ya Simba imefikisha Alama (Points) 30.5 kutokana na kufanya Kwake vyema katika Michuano ya Klabu Bingwa na hii ya sasa ya Shirikisho ni kwamba Msimu ujao Simba SC na Timu zingine 20 zilizojipendekeza Alama na zilifanya vyema hazitaanza hatua za Awali ( Preliminary ) Kucheza Mechi za Klabu Bingwa Afrika ( CAFCL ) ila zenyewe zitacheza baadae.
Haji Manara kwakuwa Klabu yako ya Yanga hajjafanya vyema Kimataifa (na hilo unalijua) na mpaka sasa Yanga SC ina Alama (Points) 1.5 tu hata kama Mtakuwa Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa Msimu huu ila katika Michuano ya Kimataifa kutokana na Performance yenu Duni na Mbaya nanyi pia mtaanzia hatua za Awali (Preliminary) na Wenzenu mnaofanana.
Haji Manara nilidhani kwa Kutamba Kwako kote na Kujiita wa Kimataifa basi Jambo dogo tu kama hili ungekuwa Unalijua badala yake Jana Umekurupuka kutafuta Sifa kama Kawaida yako na Kujiaibisha huku wenye Akili Kubwa (wana Simba SC) tukaendelea tu Kukuchora na Kukudharau zaidi.
Haya Haji Manara nakuomba baada ya Jana Kuwadanganya Waandishi wa Habari Wapuuzi na ambao huwa Wanakuamini na Kujipendekeza Kwako Wakiongozwa na Mtangazaji mwana Yanga SC hadi Anakera halafu Mnafiki Abisai Steven Junior wa East Africa Radio Kipyenga Extra na Wana Yanga SC wote kuwa Yanga SC haitoanza hatua za Awali bali Simba SC ndiyo itaanza huko tafadhali itisha haraka Press Conference leo na Uwaombe Radhi kwani Umewaaibisha na Kuwadharaulisha sana kwa hili.
Unasumbuliwa na Ushamba na Ujuha!!!
Haji Manara kwa hili la Yanga SC kuwa Bingwa wa Ligi Kuu hata Mimi MINOCYCLINE nisiwe Mnafiki na sikubishii kuwa nyie Yanga SC mna 90% za kuwa Mabingwa na msipolichukua nitawashangaa hadi naingia Kaburini kwani mna kila dalili za kuwa Mabingwa wapya.
Haji Manara leo Concern yangu Kuu Kwako ni kutaka Kukupinga na Uongo wako ulioutoa Jana mbele ya Waandishi wa Habari katika Press yako na nasikitika kwa Umbumbumbu Wao na Wao wakakuamini pamoja na wana Yanga SC wote.
Sasa Haji Manara leo MINOCYCLINE nakupa Ufafanuzi juu ya hilo na pia nakufundisha Kufikiri ili Siku zingine usiwe Juha ( Zuzu ) kama ambavyo ulivyo sasa japo Mwenyewe unajiona ni Bonge la Mjanja wakati kumbe ni Mshamba Mwandamizi uliyeko Jangwani (Yanga SC).
Ipo hivi kwakuwa Klabu ya Simba imefikisha Alama (Points) 30.5 kutokana na kufanya Kwake vyema katika Michuano ya Klabu Bingwa na hii ya sasa ya Shirikisho ni kwamba Msimu ujao Simba SC na Timu zingine 20 zilizojipendekeza Alama na zilifanya vyema hazitaanza hatua za Awali ( Preliminary ) Kucheza Mechi za Klabu Bingwa Afrika ( CAFCL ) ila zenyewe zitacheza baadae.
Haji Manara kwakuwa Klabu yako ya Yanga hajjafanya vyema Kimataifa (na hilo unalijua) na mpaka sasa Yanga SC ina Alama (Points) 1.5 tu hata kama Mtakuwa Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa Msimu huu ila katika Michuano ya Kimataifa kutokana na Performance yenu Duni na Mbaya nanyi pia mtaanzia hatua za Awali (Preliminary) na Wenzenu mnaofanana.
Haji Manara nilidhani kwa Kutamba Kwako kote na Kujiita wa Kimataifa basi Jambo dogo tu kama hili ungekuwa Unalijua badala yake Jana Umekurupuka kutafuta Sifa kama Kawaida yako na Kujiaibisha huku wenye Akili Kubwa (wana Simba SC) tukaendelea tu Kukuchora na Kukudharau zaidi.
Haya Haji Manara nakuomba baada ya Jana Kuwadanganya Waandishi wa Habari Wapuuzi na ambao huwa Wanakuamini na Kujipendekeza Kwako Wakiongozwa na Mtangazaji mwana Yanga SC hadi Anakera halafu Mnafiki Abisai Steven Junior wa East Africa Radio Kipyenga Extra na Wana Yanga SC wote kuwa Yanga SC haitoanza hatua za Awali bali Simba SC ndiyo itaanza huko tafadhali itisha haraka Press Conference leo na Uwaombe Radhi kwani Umewaaibisha na Kuwadharaulisha sana kwa hili.
Unasumbuliwa na Ushamba na Ujuha!!!