Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe acha Kutulazimisha tunaokuheshimu tuanze Kukudharau kwa huu Upuuzi wako

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,647
109,037
"Sisi Yanga SC siyo Timu ya Kulialia na Kudekadeka kama Wengine kuomba Mechi zao za Ligi zisimamishwe wakidhani hivyo Viporo vyao watavila wakati Yanga SC tumejiandaa kuhakikisha Viporo vyao vyote Vinachacha na Vitachacha. Yanga SC tutaendelea kucheza Ligi na kucheza Mechi za Kimataifa ili kuonyesha tofauti yao na yetu" amesema Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe leo akiongea na Waandishi wa Habari na hii Taarifa yake ilirushwa Hewani na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Saa 2 Usiku cha E-Sport.

Ali Kamwe leo Wewe ni wa kusahau kuwa Uongozi wa Klabu yako kupitia Rais Injinia Hersi Said mwaka jana ( 2023 ) zaidi ya mara Tatu mkiwa mnacheza Mechi zenu za CAFCC mliofika Fainali na hata baadhi ya Mechi za CAFCL mliomba kwa TFF Mechi zenu za Ligi Kuu ya Tanzania ya NBC zisogezwe mbele ili mjiandae vyema na Mechi zenu na muiwakilishe Tanzania vizuri?

Ali Kamwe unachokikosoa Wewe leo kwa Simba SC kuomba TFF Mechi yao ya Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar FC ili ijiandae vyema na Mechi yake ngumu ya CAFCL dhidi ya Timu bora na Shindani hasa ya Asec Mimosa FC kina tofauti yoyote ile na kile ambacho Yanga SC ilikifanya mwaka jana na huenda pia ikitokea mkafanya vyema huko mbeleni nanyi pia mtakifanya hiki hiki kilichofanywa na Simba SC?

NI kwanini Watu makini na Msomi mzuri kama Wewe Ali Kamwe mkihamia tu kuwa Watendaji wa hivi Vilabu vikubwa viwili hapa Tanzania vya Simba na Yanga huwa mnabadilika na kuanza kuwa Wapumbavu Wapumbavu huku mkiwa mmetawaliwa na Ushamba, Utoto na Upuuzi?
 
"Sisi Yanga SC siyo Timu ya Kulialia na Kudekadeka kama Wengine kuomba Mechi zao za Ligi zisimamishwe wakidhani hivyo Viporo vyao watavila wakati Yanga SC tumejiandaa kuhakikisha Viporo vyao vyote Vinachacha na Vitachacha. Yanga SC tutaendelea kucheza Ligi na kucheza Mechi za Kimataifa ili kuonyesha tofauti yao na yetu" amesema Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe leo akiongea na Waandishi wa Habari na hii Taarifa yake ilirushwa Hewani na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Saa 2 Usiku cha E-Sport.

Ali Kamwe leo Wewe ni wa kusahau kuwa Uongozi wa Klabu yako kupitia Rais Injinia Hersi Said mwaka jana ( 2023 ) zaidi ya mara Tatu mkiwa mnacheza Mechi zenu za CAFCC mliofika Fainali na hata baadhi ya Mechi za CAFCL mliomba kwa TFF Mechi zenu za Ligi Kuu ya Tanzania ya NBC zisogezwe mbele ili mjiandae vyema na Mechi zenu na muiwakilishe Tanzania vizuri?

Ali Kamwe unachokikosoa Wewe leo kwa Simba SC kuomba TFF Mechi yao ya Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar FC ili ijiandae vyema na Mechi yake ngumu ya CAFCL dhidi ya Timu bora na Shindani hasa ya Asec Mimosa FC kina tofauti yoyote ile na kile ambacho Yanga SC ilikifanya mwaka jana na huenda pia ikitokea mkafanya vyema huko mbeleni nanyi pia mtakifanya hiki hiki kilichofanywa na Simba SC?

NI kwanini Watu makini na Msomi mzuri kama Wewe Ali Kamwe mkihamia tu kuwa Watendaji wa hivi Vilabu vikubwa viwili hapa Tanzania vya Simba na Yanga huwa mnabadilika na kuanza kuwa Wapumbavu Wapumbavu huku mkiwa mmetawaliwa na Ushamba, Utoto na Upuuzi?
Alitamka kwa mskusudi kwani anajua kuanzia usiku wa Leo Hana chake CAF! Hivyo ligi yake ya nyumbani aendelee KUCHEZA kama kina Azam Mana nafasibya Yanga kuunguruma CAF ndo bayiii bayiiiii.............
 
Alitamka kwa mskusudi kwani anajua kuanzia usiku wa Leo Hana chake CAF! Hivyo ligi yake ya nyumbani aendelee KUCHEZA kama kina Azam Mana nafasibya Yanga kuunguruma CAF ndo bayiii bayiiiii.............
Dua La Kuku Halimpati Mwewe, Mtabaki Kupiga Ramli Na Kuweweseka Dar Young Africans Kutoka Na Inaendelea Kusonga Mbele Daima.
 
Alitamka kwa mskusudi kwani anajua kuanzia usiku wa Leo Hana chake CAF! Hivyo ligi yake ya nyumbani aendelee KUCHEZA kama kina Azam Mana nafasibya Yanga kuunguruma CAF ndo bayiii bayiiiii.............
Kolowizards katika 1 & 2 kwa uchaa-mbuzi.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
JamiiForums-1072397695.jpg
 
Sio kawaida yako MTANI umeandika kistaarabu sana Mtani au ndio Effects za Valentine zinaanza kuonekana umebadilishwa😁😁😁
 
"Sisi Yanga SC siyo Timu ya Kulialia na Kudekadeka kama Wengine kuomba Mechi zao za Ligi zisimamishwe wakidhani hivyo Viporo vyao watavila wakati Yanga SC tumejiandaa kuhakikisha Viporo vyao vyote Vinachacha na Vitachacha. Yanga SC tutaendelea kucheza Ligi na kucheza Mechi za Kimataifa ili kuonyesha tofauti yao na yetu" amesema Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe leo akiongea na Waandishi wa Habari na hii Taarifa yake ilirushwa Hewani na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Saa 2 Usiku cha E-Sport.

Ali Kamwe leo Wewe ni wa kusahau kuwa Uongozi wa Klabu yako kupitia Rais Injinia Hersi Said mwaka jana ( 2023 ) zaidi ya mara Tatu mkiwa mnacheza Mechi zenu za CAFCC mliofika Fainali na hata baadhi ya Mechi za CAFCL mliomba kwa TFF Mechi zenu za Ligi Kuu ya Tanzania ya NBC zisogezwe mbele ili mjiandae vyema na Mechi zenu na muiwakilishe Tanzania vizuri?

Ali Kamwe unachokikosoa Wewe leo kwa Simba SC kuomba TFF Mechi yao ya Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar FC ili ijiandae vyema na Mechi yake ngumu ya CAFCL dhidi ya Timu bora na Shindani hasa ya Asec Mimosa FC kina tofauti yoyote ile na kile ambacho Yanga SC ilikifanya mwaka jana na huenda pia ikitokea mkafanya vyema huko mbeleni nanyi pia mtakifanya hiki hiki kilichofanywa na Simba SC?

NI kwanini Watu makini na Msomi mzuri kama Wewe Ali Kamwe mkihamia tu kuwa Watendaji wa hivi Vilabu vikubwa viwili hapa Tanzania vya Simba na Yanga huwa mnabadilika na kuanza kuwa Wapumbavu Wapumbavu huku mkiwa mmetawaliwa na Ushamba, Utoto na Upuuzi?
Kumbe Ali kamwe ni msomi?
Au kuishi Dar tu ndio kuwa msomi?

Wasomi wa Dar;
1. Baba Levo
2. Steve Nyerere
3. Ali Kamwe
4. Dotto Magari
5.......
Mtafanya watoto wazidi kuichukia shule
 
"Sisi Yanga SC siyo Timu ya Kulialia na Kudekadeka kama Wengine kuomba Mechi zao za Ligi zisimamishwe wakidhani hivyo Viporo vyao watavila wakati Yanga SC tumejiandaa kuhakikisha Viporo vyao vyote Vinachacha na Vitachacha. Yanga SC tutaendelea kucheza Ligi na kucheza Mechi za Kimataifa ili kuonyesha tofauti yao na yetu" amesema Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe leo akiongea na Waandishi wa Habari na hii Taarifa yake ilirushwa Hewani na EFM Radio katika Kipindi chao cha Michezo cha Saa 2 Usiku cha E-Sport.

Ali Kamwe leo Wewe ni wa kusahau kuwa Uongozi wa Klabu yako kupitia Rais Injinia Hersi Said mwaka jana ( 2023 ) zaidi ya mara Tatu mkiwa mnacheza Mechi zenu za CAFCC mliofika Fainali na hata baadhi ya Mechi za CAFCL mliomba kwa TFF Mechi zenu za Ligi Kuu ya Tanzania ya NBC zisogezwe mbele ili mjiandae vyema na Mechi zenu na muiwakilishe Tanzania vizuri?

Ali Kamwe unachokikosoa Wewe leo kwa Simba SC kuomba TFF Mechi yao ya Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar FC ili ijiandae vyema na Mechi yake ngumu ya CAFCL dhidi ya Timu bora na Shindani hasa ya Asec Mimosa FC kina tofauti yoyote ile na kile ambacho Yanga SC ilikifanya mwaka jana na huenda pia ikitokea mkafanya vyema huko mbeleni nanyi pia mtakifanya hiki hiki kilichofanywa na Simba SC?

NI kwanini Watu makini na Msomi mzuri kama Wewe Ali Kamwe mkihamia tu kuwa Watendaji wa hivi Vilabu vikubwa viwili hapa Tanzania vya Simba na Yanga huwa mnabadilika na kuanza kuwa Wapumbavu Wapumbavu huku mkiwa mmetawaliwa na Ushamba, Utoto na Upuuzi?

View: https://www.instagram.com/reel/C4jUQfOK2wM/?igsh=MXh2bnZhNnUwdmFtMw==
 
Back
Top Bottom