Mkweli mwaminifu
Member
- Feb 7, 2012
- 89
- 24
Hospitalini dawa hakuna,
AJIRA zimesitishwa , vijana wamejaaa mtaani hawana matumaini,
watumishi wanasononeka hawajapandishwa madaraja,hawajalipwa madai Yao,
call allowance,extral duties kwa watumishi hakuna.,kwa waganga na manesi wetu.
Wanavyuo wanalia MIKOPO hakuna .
nchi inaenda kama gari bovu .
EEEE MUNGU TUNAKUOMBA UTUHURUMIE
IKIWEZEKANA KIKOMBE HIKI TUKIEPUKE.
AJIRA zimesitishwa , vijana wamejaaa mtaani hawana matumaini,
watumishi wanasononeka hawajapandishwa madaraja,hawajalipwa madai Yao,
call allowance,extral duties kwa watumishi hakuna.,kwa waganga na manesi wetu.
Wanavyuo wanalia MIKOPO hakuna .
nchi inaenda kama gari bovu .
EEEE MUNGU TUNAKUOMBA UTUHURUMIE
IKIWEZEKANA KIKOMBE HIKI TUKIEPUKE.