Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Haaahaa.Kuna mapepo wanayakusanya kwa kushinda kwa waganga. Wanahitaji mtaalamu wa kuyapunga maana ni kama wamechanganyikiwa. Kila mtu anakuja na lake as if hakuna taratibu ndani ya chamaWell said Mzee Mkandara!,
Warioba hatojibu shutuma za Mzee Msekwa,kwa kufanya hivyo atauua huu mjadala(kifo cha mende),kama ukisoma kwa makini maneno ya Mzee Msekwa utagundua kuwa kuna mengi zaidi ya hayo......hakukuwa na sababu yoyote ya kujibu shutuma za Mzee Warioba kwa maneno ya mtaani,Msekwa anatafuta vita vya maneno ambavyo mwisho wake si mzuri......Sijui nani kawaloga hawa wenzetu (CCM),Naona kila siku kuna beef jipya huko.....Ni vyema wamuone Mama Mbunge/Mchungaji ili aombee amani itawale ndani ya Chama Tawala.