Chamber???:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:Alidhani chai kumbe inafanya mawenge wenge.
Huyu mwenye Bar lazima ashtakiwe kwa kuruhusu watoto wadogo kuingia na kunywa pombe ikiwezekana anyang'anywe leseni au mnataka mpaka afe mtoto kwa kuzidisha kilaji ndo mmshughulikie?
Chamber???:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky:
Alidhani chai kumbe inafanya mawenge wenge.
Huyu mwenye Bar lazima ashtakiwe kwa kuruhusu watoto wadogo kuingia na kunywa pombe ikiwezekana anyang'anywe leseni au mnataka mpaka afe mtoto kwa kuzidisha kilaji ndo mmshughulikie?
Hatari tupu?hiv wenzie akina Manongi Sinta a.k.a J Lo, a.k.a al Qaeda (RIP chifp) waliishia wapi vle??
Umetumwa ww ama
Kama mmiliki wa club ni mwanasiasa nayeomba idhini ya watanzania .. kwanini asihusishwe!.. mtoto wa miaka 16 kaleweshwa ndani ya club yake! inabidi achukuwe hatua kuonesha kuwa anajali:confused2:Chunguza post yako ndugu yangu utajua umeanza kuhusisha na siasa hii post
huyu DD si ndio yule alitoa topic moja kuwa anapenda sana kusagana? Au nakosea mimi? Na hii taksi aliyotaka kumlipia mmmmh, sijui, nway nawaza kwa sauti tuJamani hapa ni Bilicanas sio San Ciro walianzia kulewa San Ciro wakaja Bilicanas, nilipoona kazidiwa na kilevi kama mwanamke nikamwambia nitakulipia taxi nenda nyumbani akakataa eti hajalewa baadaye wakamwokoa vijana flani sijui jirani zake kutoka mikononi mwa muhindi aliekuwa anamnunulia pombe aondoke nae.
Hapo hatuna mtoto ni changudoa mtarajiwa.
Alafu hii CLUB SI INAMILIKIWA NA YULE JAMAA WA CHADEMA Freeman Aikaeli Mbowe!!!?? Yaani Mtiririko wa fedha wa chadema ni mchafu na unachafuwa future ya taifa letu hili alafu 2015 atagombea urais kupitia chadema na nchi nzima itakuwa ya walevi. :becky::becky: MSINIFUNGIE JAMANI.. ila ndio ukweli!
Mnashangaa nini.....siku hizi mabinti wanaanza kuchakachuliwa wakiwa darasa la nne!! Mbona huyu kesha zeeka sasa, alianza kuchakachuliwa toka enzi hizo na kina Kanumba, Ray, Simulenga na Tino!!