cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
LULU AKIWA CHAKARI BAADA YA KULEWA POMBE ZA MUHINDI
AVUA NGUO UKUMBINI (GLOBAL PUBLISHERS)
sina hata la kusema maana nilikua nawaomba wakaka wamuache "mtoto" akue lkn naona mtoto kakua hadi kunipita mie dada yake!
.....:A S-danger:hivi kwa nini waaruhusu WATOTO kuingia ktk sehemu za starehe usiku:A S-danger:
binti anatia aibu!!
binti anatia huruma!!
is this the begining of her end??