Msanii Linah apagawisha Washington DC

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,346
33,183







469829_10151480933360283_631880282_9580000_844500595_o.jpg

465274_10151480932650283_631880282_9579999_1028839426_o.jpg

Linah akivuta hisia kwneye show yake Washington DC
457245_10151480942430283_631880282_9580016_990314852_o.jpg

Mdau akichukua taswira ya mwimbaji Linah alipokua akiwasha moto kwenye show yake Washington DC nchini marekani
459249_10151480934725283_631880282_9580004_1992363658_o.jpg

Wadau mbalimbali wakicheza kwa furaha songi mbalimbali zilizokua zikiporomoshwa na msanii Linah kutoka Tanzania kwenye show yake iliyofana sana Washington DC nchini Marekani
295148_3008645852030_1138958007_32252740_87743451_n.jpg



Linah akiiimba kwa hisia kwenye show yake DC






526181_3008647332067_1138958007_32252745_1609286355_n.jpg

Linah(kulia)akiwa na wadau
545905_3008642131937_1138958007_32252735_2090983551_n.jpg

Warembo mbalimbali waliojitokeza kwenye show ya linah Washington DC nchini Marekani
--
Mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya,Estalina Sanga 'Linah' amepagawisha wadau mbalimbali Washington DC nchini Marekani ambapo tarehe 21 Mwezi Huu anatarajia kupagawisha wadau wa Miji ya COLUMBUS OHIO
 
ni House party au Concert? maana naona km sherehe za birthday flani hivi.
Ooh! Afadhali umenisaidia kujaribu kuelewa. Yes kama co B-part yaweza kuwa Shukran Part baada ya Harusi ya hao Mr&Mrs wanaompa zawadi hapo juu
 
Halafu kavaa vibayaaaa..alidhn ulays ni kuvaa uchi tu..tazama wahudhuriaji wamevaa kiheshims..video za nje zatudanganya
 
Mavi matupu!, watu kumi ndani ya kisebule cha familia ndo unasema eti "apagawisha", hivi unajua maana ya "kupagawa" wewe, cjui labda hiko kiguo alichovaa, bora u change hiyo headline kwani haiendani na picha ulizoweka!!!
 
Alipagawisha sana! Hapo mkononi hiyo hela aliyoshika inadhamani ya sh ngapi za Kitanzania??

469829_10151480933360283_631880282_9580000_844500595_o.jpg
 
prof jay vipi, mbona kama kazamia ivi?.........watu bize na pair zao ndio kusema hawamjui au daharau!!!???


 
Huyo linah ni STRIPPER au? Mbona kavaa kama changudoa alafu wadau wanamtupia dola mojamoja?
Huu ni ushamba na uchafu.
 
Halafu kavaa vibayaaaa..alidhn ulays ni kuvaa uchi tu..tazama wahudhuriaji wamevaa kiheshims..video za nje zatudanganya
nakuunga mkono mkuu tofali, hovyoooooooooooo kabisa alivyovaa huyu dada!
 
Last edited by a moderator:
Walivyowashenzi yaani walimuona ni mtu wa kutunzwa dola mojamoja pole yake nafikiri ni hayo mavazi alovaa waliiona yanafa kutuzwa dola mojamoja.

Wasanii bwana hivi huwezi bila kuwa msanii wa muziki au filamu bila kuonyesha utupu wa mwili wako!!!!!!!!!!!
 
Watu wanapagawishwaje kwa CD playback? Au siku hizi wamebadilisha uimbaji?
 
ina maana kuwa msanii ni lazima kuvaa nusu uchi,,,,huu ni ujinga na utumwa wa kiakili.
 
Niliwahi kumkuta Mlimani City Samaki-Samaki sikutambua kuwa ndio Linah mpaka niliposikia watu wakimshobokea...sijui kwa nini always muonekano wake halisi huwa tofauti na wa kwenye picha zake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom