KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
mengi tutayasikia ila huyu mzee Samwel. H. Kasori lengao ake nini hasa? atangaze kabisa yuko upande gani asijifanye kuleta porojo. yote hayo ni vita juu ya urais haswa kwa watu wa kaskazini na haijaanzia leo toka kwa kina mang mariale ,sokoine na sasa EL. Nyerere hakuwahi kutaman nchi hii ikamatwe na rais toka kaskazin ndo maana that time akaamua kumchafua EL.
kwa hiyo safari hii "zamu yenu" sio;hoja zako kwa nyerere zingekuwa na maana kama kanda ya nyanda za juu kusini nayo imewahi kutoa angalau waziri mkuu ukiacha huyu pinda aliyepata kwa bahati mbaya tu baada ya ile ajali yenu ya kisiasa!nyie mmeshatoa mawaziri wakuu wangapi mpaka sasa na naibu waziri mkuu juu????tukifuata hayo nchi haitatawalika!