Msaidizi wa Mwl. Nyerere (Mzee Kasori) alivyowashukia viongozi wa serikali ya awamu ya nne

Ndugu Kasori,
That is what I was saying ,kwamba kuna irregularities in what you are writing,inconsistency and ambiguity.
Ingawa sasa hivi I cannot accuse you of ambiguity. Huyu Valentine Mokiwa is a straight talker. If you talk to him,you will not go away guessing at his meaning,what he was trying to say to you.

What you are writiing now is very clear. Unaandika maneono ya kumkashifu Mwalimu Nyerere.
Wewe ulikuwa umeajiriwa nyumbani kwa Mwalimu Nyerere. You were a servant in his house. We cannot always call people like you Civil Servants,you are just hired servants. Kwa hiyo ulitakiwa kuonyesha loyalty kwa Mwalimu.

Sasa unatuambia Lowasa alitaka kuamuru Mwalimu aende Monduli kulisafisha jina lake.
Halafu sasa unatuambia,CCM haikupendezwa Mwalimu kuongea na Wapinzani,hususan, Mrema,na Seif Hammad. Kwa hiyo,siku moja,wakatuma ndege Butiama to arrest Mwalimu,
Ameir,waziri wa mambo ya ndani,na majogo,waziri wa ulinzi.

Hizi story ni kashfa tu. We have heard enough. If you have any more such stories,keep them to yourself. Mambo ya zamani yasizungumzwe,zipo statute of limitation laws. Watu kama ni waouvu,lama walitenda uovu zamani,watatenda uovu leo pia. Tusahau ya zamani.

Let us focus our minds on these people,ambao inaelekea wameliibia Taifa.Let us be united in what we want to do,tusiongee kuhusu" agreeing to disagree."
Pia tusiongee juu ya tindikali,lest we be sent to the psychiatrist.
Tuna matatizo ya uchumi,and we have to clever like Prof. Stiglitz

Andrew Nyerere:
Historia yenye kusimamia ukweli ni msingi muhimu sana katika kupanga mambo yanayofaa kwa wakati uliopo na ujao. Mzee Kasori anastahili shukrani kwa kutukumbusha ya huko nyuma. Nia yake ni njema si kuvuruga. Hii itasaidia kujirekebisha kwa viongozi wetu wa serikali na vyama vya siasa ili kuendeleza utawala bora ambao ni muhimu katika kuleta maendeleo ya kweli nchini.
 
Meghji Kabla ya kuidhinisha hiyo fedha alifanywa girl friend wa Rostam akalegezwa kimapenzi mama akamwaga wino basi tuu nchi huyu alikuwa wakuzikwa akiwa hai
 
Hakika kuna wazee wana maadili na mapenzi mema na nchii hii.Kuna tofauti kubwa sana na hawa jamaa zangu wanaowaza urais 24hrs.
 

Andrew Nyerere:
Historia yenye kusimamia ukweli ni msingi muhimu sana katika kupanga mambo yanayofaa kwa wakati uliopo na ujao. Mzee Kasori anastahili shukrani kwa kutukumbusha ya huko nyuma. Nia yake ni njema si kuvuruga. Hii itasaidia kujirekebisha kwa viongozi wetu wa serikali na vyama vya siasa ili kuendeleza utawala bora ambao ni muhimu katika kuleta maendeleo ya kweli nchini.


Ndugu Makundi,hii post ni ya miaka minne iliyopita. Sijui kwa nini unailete leo for discussion and for my reply. Haya mambo ya Kasori kusema someone wanted to arrest Mwalimu,na yMwalimu. Huyu Kasori anaweza vipi kuandika jambo foolish kama hili. Na kusema kwamba Lowassa alisema Mwalimu aende Monduli kumsafisha jina lake. Mwaliu aende Monduli for what xxxxxx reason?
Kama mtu anataka kwenda Ikulu,let me remind him Ikulu iko kule Magogoni. Asije huku kugombana na mimi. Mimi sijaonekana katika corridors of power hata siku moja. I am not a kingmaker
Ndiyo,nimesema for what xxxxx reason. Kwa hiyo don't push me.
 
Ndugu Makundi,hii post ni ya miaka minne iliyopita. Sijui kwa nini unailete leo for discussion and for my reply. Haya mambo ya Kasori kusema someone wanted to arrest Mwalimu,na yMwalimu. Huyu Kasori anaweza vipi kuandika jambo foolish kama hili. Na kusema kwamba Lowassa alisema Mwalimu aende Monduli kumsafisha jina lake. Mwaliu aende Monduli for what xxxxxx reason?
Kama mtu anataka kwenda Ikulu,let me remind him Ikulu iko kule Magogoni. Asije huku kugombana na mimi. Mimi sijaonekana katika corridors of power hata siku moja. I am not a kingmaker
Ndiyo,nimesema for what xxxxx reason. Kwa hiyo don't push me.
Andrew,

Kasori hajasema Majogo na Ameir walienda kumu arrest Nyerere. Amesema Nyerere ndio aliwauliza mmekuja kuni arrest?

Na pia unamshambulia kwa kumuita alikuwa mfanyakazi wenu wa ndani. Mzee Kasori amesema alikuwa Katibu Mkuu wa Rais baada ya kina Butiku. Kwa hiyo tusema Mzee Butiku nae alikuwa mfanyakazi wenu wa ndani? Kama ni hivyo basi itakuwa nyinyi ndio mliwageuza hawa makatibu ma houseboy wenu kwa sababu hata hapo kwenye narrative ya Mzee Kasori anasema Waziri Majogo na Ameir walipokuja Butiama yeye ndio alikimbia kumuita shambani. Which sounds like a houseboy to me! I mean, kwa nini Katibu Mkuu wa Rais mstaafu aende kuishi au kuzagaa zagaa Butiama kupokea wageni?
 
Nimesema civil servants ni hired servants,yaani civll servants wa Serikali. zote za dunia.Kasori alikuwa kule Butiama,halafu Mkapa akafika kule akaambiwa ''tunaomba Kasori uondoke nae'' Ndivyo Kasori alivyoondoka.
 
Sawa,I am Impressed by what Mr.Kassori wrote.Viongozi wetu wamekosa kuwa wakweli na wamevunja hata Imani ya chama chao Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko.

Wanatakiwa watuambie watanzania ukweli ili tuamue kuwasamehe au hapana.Hakuacha hata jiwe moja,pamoja na kwamba amemtaja Lowassa peke yake lakini alichokiandika kinagusa dhamira ya viongozi wetu wote bila kujali nafasi zao.

Zinawagusa wabunge wetu ambao hawajui kilichowapeleka bungeni,kinawagusa mawaziri na wasaidizi wao na kinawagusa wafanyakazi wa serikalini,wengi wetu tumeweka matumbo,familia zetu mbele na kuacha Taifa letu kuzidi kudidimia na kuliweka kwenye vita vya walionacho na wasionacho.

Chama kilichoasisi Ujamaa na kujitegemea viongozi wake wamekuwa wepesi wakutukana wasionacho kuwa wavivu ,mara wanawivu wa kike nk.Tumeona familia ya viongozi zikiingia bila kupingwa kwenye NEC na kutumia raslimali za taifa kujinusfaisha.

Viongozi wetu kuanzia rais wetu waanze kujitafiti wamekosea wapi wajirekebishe na watuambie ukweli.Rushwa na ubadhirifu imekuwa ni haki kwa sasa hakuna wa kuwasemea wanyonge.

Nimeifurahia mada hii.Asante sana Sawa kutuletea,maana wengine tuko vijijini hata kupata magazeti ni starehe.Kama nitakuwa nimeongea vibaya mnisamehe ni mawazo yangu
 
yote kwa yote azimio la Arusha linahitajika kwa sasa kuliko wakati wowote ule but nani wa kulirudisha
 
Waraka huu unapeleka ujumbe mzito kwa wapiga kura wa Tabora, hivi waliwezaje kumchagua mtu kama ADEN RAGE eti awe mbunge wao? licha ya kuwa na kila sifa ya kukosa uadilifu Nikiwangalia RAGE nashindwa kabisa kuielewa CCM inaenda wapi na inalipeleka wapi taifa hili, kwa mwenendo huu wa CCM sintashangaa Lowassa kuwa rais wa tano wa inchi hii, na ninafikiri Mhe- KISORI atashangaa zaidi.
 
Waraka huu unapeleka ujumbe mzito kwa wapiga kura wa Tabora, hivi waliwezaje kumchagua mtu kama ADEN RAGE eti awe mbunge wao? licha ya kuwa na kila sifa ya kukosa uadilifu Nikiwangalia RAGE nashindwa kabisa kuielewa CCM inaenda wapi na inalipeleka wapi taifa hili, kwa mwenendo huu wa CCM sintashangaa Lowassa kuwa rais wa tano wa inchi hii, na ninafikiri Mhe- KISORI atashangaa zaidi.

utashanga nn? Sasa hv watanzanua wameamka na wanajua haki zao mchezo akuna hapa saizi tutapambana mpaka mwisho wake na lowasa awezi kuwa raisi wa nchi hii
 
dah mzee ana kichwa kizuri kuliko wengi wanaoshika nyadhifa katika bwawa hili la Tanzania
 
Kwa siasa za fitna za hapa Bongo watakuwa wamesha fix zamani sana sasa analia kimya kimya tu!anafaa kuwa na makala yake raia mwema ili tuchote hekima zake na uzoefu wake ma historia ya maamuzi magumu!
 
Uadilifu ni tatizo kubwa Duniani, Laini ni wazi kwamba BUSARA na HEKIMA havipo na ni nadra kuonekana. Mara Nying Mwl. alikuwa anashangazwa na maamuzi mengi ya ovyo ya Mwinyi. Mwl. aliwaoinya CCM kuhusu Lowasa lakini kwa mshangao mkubwa Mkapa, Raisi aliyepewa uraisi na Mwl. alimteua kuwa mmoja ya viongozi wa juu katika serikali yake. Kama vile haitoshi Kikwete alimpa uwaziri Mkuu!!. Kuna mifano mingi ya maamuzi ya ovyo ambayo yamefanywa na viongozi wetu. Lakini natafakari pia, hivi kweli Mwl. alikuwa na watu waadilifu wangapi walio mzunguka. Ukitizama kwa makini utagundua hawapo. Watu kama Salim Ahmed Salim, Mwl. aliwahitaji sana, tujiulize ni mambo mangapi tumeskia Salim akikemea au kuelekeza, sana sana nimewahi kusikia akilalamika juu ya rafu alizochezewa ktk uchaguzi wa 2005.

Unafiki umetawala CCM, ndio maana watu kama Nape wapo,Kinana, hawa kina Meghji na wote, wote. Hawa wote nawaona ni wachumia tumbo. Mwisho, pamoja na ujasiri wa matamshi haya ya huyu mzee Kasori, najiuliza, pamoja na utumbo wote wa viongozi wake wa CCM, bado anatishia kurudisha kadi? Lakili pia, naona endapo Mwl angerudisha kadi yake kipindi hicho, Seri8kali ya CCM ingekwisha anguka muda mrefu, na km ingeanguka, tusingekuwa na aibu hii ambayo tupo nayo leo Tanzania. So inshort, Kasori tumemsikia lakini HEBU TUFUNGUKE ZAIDI YA ANAVYOTAKA TUFUNGUKE!
 
Katika watoto wa Maria Nyerere ambao ni dead-wood ni huyu Andrew Nyerere Bingwa wa kujikomba kwa magamba...Wazee kama akina S.H.Kasori ni muhimu sana wetu...Hawa wazee wamejaa uzalendo, Wanamaarifa mengi sana ya kupambana na neo-colonialism. Inasikitisha badala ya kuchukua ushauri wao Viongozi wa CCM wanawatosa na kuendelea kukumbatia wezi wa rasilimali zetu...Hizi multinational cooporation like Barrick et al zitakuja kutuachia mashimo kila mahali hapa Tanzania!

Umasikini unaingezeka...Vijana wamekata tamaa ya maisha...Madini yanasombwa kwenda ulaya na marekani...mikataba feki inazidi kushamiri...kila penye madini wananchi wanahamishwa kwa nguvu kubwa...VYote hivyo ni kwakuwa tumeacha misingi yetu nakuingia kuwa makuwadi wa kuuza vidani vyetu vya ndani.....
Andrew acha kuvuta nyasi/kijiti, ushakuwa mtu mzima sasa....
 
Back
Top Bottom