OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
wewe mbona unakuwa mvivu wa kufikiria?? soma alichoandika hatua kwa hatua kama una ukweli mwingine tofauti na huo, toa hoja ijadiliwe kuliko kupost vitu virahisirahisi namna hii watu aina yenu wasiopenda kufikiri na wanaotoa majibu marahisi kama lako ndio wamefikisha hili taifa hapa lilipo!!huyu mzee sijui nae amelipwa kiasi gani kuleta maelezo marefu kiasi hiki!!!