Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Sizungumzii nyomi mimi. Chadema Jana walikaidi agizo la polisi la kutokukusanyika, badala yake wakakusanya wafuasi wao kila kona wakajazana pale airport na baadae wakaandamana. Lengo lao lilikua polisi wawazuie ili vurugu zitokee wapate kiki lakini wakapuuzwa. Sasa leo wakaona bora waamkie msibani, napo wamekwaa kisiki. Sasa hivi, watakua wanaandaa maandamano ya kumsindikiza Lissu Mahakamani.

Sasa kama unaona nina akili za Utopolo, subiri uone.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Sasa ulitamani Polisi waingilie hata kama hakuna vurugu? Hiyo jana ndiyo wamekudhihirishia kwamba bila Polisi kuingilia CHADEMA huwa wanaandamana kwa adabu! Jana umesikia uporaji wowote? Tuache kutumia siasa hata kwenye mambo ya kibinadamu. Hiyo maanake ni kwamba kile Polisi huwa wanasingizia eti intelijinsia huwa ni uongo tu!
 
Chadema wapvmbavu sana kumbe walitaka waingie taifa wakati rais ameshaingia, protokali gani inaruhusu huu ujuha? Hivi chadema kuna mwenye akili kabaki kweli?
 
Chadema utoto mwingi Sana!!

Na bahati mbaya kwamba hata wafuasi wake ukikaa vizuri kabisa kuwachunguza Kwa undani wengi wao ni wavuta bangi na machizi na hawana adabu

Nachofurahia tu kwamba nchi haiwezi kukabidhiwa Kwa watu wenye huluka hiyo!!
Hivi nchi huwa inakabidhiwa kwa hiari au sanduku la kura ndilo linaamua? Jikumbushe kilichomkuta Peter wa Mutharika pale Malawi! Wananchi wakiamua hakuna wa kubisha!
 
Fool! Unawezaje kuinga na msafara kwenye shughuli wakati rais wa nchi kisha ingia? Protokali gani na nchi gani duniani yenye ufala kiasi hicho? CHADEMA ina mengi ya kujifunza ingawa naona tatizo ni kutaka kujionesha kama vile vibinti vya vyuoni vinavyowinda kuingia wakati mwalimu yuko darasani, ili vionekane. Shiiiit!
Nafikri upumbavu umeanzia kwa yule aliyewahi kuingia bila kufuata utaratibu wa ratiba. Ukiangalia ratiba iliyooneshwa na Makene kuna watu hawakutakiwa kuingia saa 3 bali walitakiwa waingie saa 4, sasa kama waliingia saa 3 kasoro hao si ndio juha zaidi ya wenzake?
 
Fool! Unawezaje kuinga na msafara kwenye shughuli wakati rais wa nchi kisha ingia? Protokali gani na nchi gani duniani yenye ufala kiasi hicho? CHADEMA ina mengi ya kujifunza ingawa naona tatizo ni kutaka kujionesha kama vile vibinti vya vyuoni vinavyowinda kuingia wakati mwalimu yuko darasani, ili vionekane. Shiiiit!
Ccm wapuuzi wazushi washamba wameweka nini kwa mkapa Magufuli anakatalia Mwili wa Mkapa kwani yeye ni familia kuna nini amejimilikisha huo mwili hapo kuna kitu huwezi kutaks kumliki marehemu huku unasema kalala hapa hawezi kuniadhibu
 
Ukatili Tundu anaomfanyia Magu ya faa akamatwe apewe kesi ya kumnyanyasa rais kama alivyopewa Idrisa.
 
Chadema wapvmbavu sana kumbe walitaka waingie taifa wakati rais ameshaingia, protokali gani inaruhusu huu ujuha? Hivi chadema kuna mwenye akili kabaki kweli?
Wapumbavu ni ccm. Na mwenyekiti wao wanaojimilikisha marehemu kwa kutafuta sifa kwanza watueleze ilikuwa Mzee afariki saa sita sita dakika 20 taarifa itolewe wakati hata hajafungwa kupelekwa mortuary
 
Wapumbavu ni ccm. Na mwenyekiti wao wanaojimilikisha marehemu kwa kutafuta sifa kwanza watueleze ilikuwa Mzee afariki saa sita sita dakika 20 taarifa itolewe wakati hata hajafungwa kupelekwa mortuary
Dah... what's the point?
 
Kumufananisha Sefu na CHADEMA nikuikosea CHADEMA adabu,kiongozi anayesimamishwa na CHADEMA uwezo wake ni wa nchi nzima pamoja na Zanzibar yenyewe hata kama atapata kura elfutatutatu kila jimbo Sefu hawezi kupata kura kama hizo, Sefu ni wakumulinganisha na akina Mwakajoka wa jimbo la Tunduma ndio size yake.
Duh.. Hizi ndio akili anazozitegemea Mbowe pale chadema
 
Hawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa. Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.

Wewe acha upumbavu. Kiki gani hapo umeona wanatafuta? Ulitaka waendeje? Mbona wewe ni pumbavu sana? Aibu kuwa na vichwa vya kupumbavu kama chako.
 
Back
Top Bottom