Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,722
- 12,103
Sasa ulitamani Polisi waingilie hata kama hakuna vurugu? Hiyo jana ndiyo wamekudhihirishia kwamba bila Polisi kuingilia CHADEMA huwa wanaandamana kwa adabu! Jana umesikia uporaji wowote? Tuache kutumia siasa hata kwenye mambo ya kibinadamu. Hiyo maanake ni kwamba kile Polisi huwa wanasingizia eti intelijinsia huwa ni uongo tu!Sizungumzii nyomi mimi. Chadema Jana walikaidi agizo la polisi la kutokukusanyika, badala yake wakakusanya wafuasi wao kila kona wakajazana pale airport na baadae wakaandamana. Lengo lao lilikua polisi wawazuie ili vurugu zitokee wapate kiki lakini wakapuuzwa. Sasa leo wakaona bora waamkie msibani, napo wamekwaa kisiki. Sasa hivi, watakua wanaandaa maandamano ya kumsindikiza Lissu Mahakamani.
Sasa kama unaona nina akili za Utopolo, subiri uone.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app