Hivi kwenda kuhani/kuaga msiba ni kutafuta Kiki?Hawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa . Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.
Hivi kwenda kuhani/kuaga msiba ni kutafuta Kiki?Hawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa . Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.
Inanikumbusha ya marehemu Omary Juma akizuia Lyatonga Mrema asipewe shahada la maua kwenye kaburi la mamake Nyerere. Nyerere alinyanyuka akampa shahada la maua ndugu Mrema.Wangewaacha tu waingie.
Ona sasa wamepata cha kuwazungumzia
Acha kugeuza geuza maneno wewe. Ulisema hakuna atakayejitokeza. Majibu nadhani unayo. Usicheze na nguvu ya umma. Wewe na ukoo wako mtaondoka lakini Tanzania itaendelea kuwepo. Juzi ukaandika liuzi lirefu eti unatisha watu watavunjwa miguu utadhani hii nchi ni ya baba ako.Kwani mi niliwatishia kuwa Msipokee Muhuni mwenzenu? Nilichopinga ni Kumpokea na Kwenda taifa/msibani
Waziri mkuu kisheria ndio mtendaji mkuu wa shughuli za kiserikali na hadi vifo vya viongozi wa nchi anakuwa msimamizi mkuu.Aaah mkuu acha hizo, mbona Majaliwa alikuwapo jana? Wala geti halifungwi kwa kisingizio kwamba kuna kiongozi ameshatangulia kuingia
Utaratibu ni upi?........naona mtindio wa hekima na busara tu basi.Hata kama umelogwa utetee Chadema huwezi kutetea upuuzi huo wanaofanya. Rais wa nchi kashaingia halafu uruhusu msafara wao wa magari uingie, wao ni akina nani? Chadema fuateni taratibu, jana hamjapigwa leo mbatafuta vijisababu.
Maalimu seifu hana madhara kwa ccm. Huwezi kujua, CHADEMA sio wajinga kivile. Huwenda walifanya mawasiliano lakini wakapuuzwa. You never know, ccm wana hila usijifanye huwajui.Nimemuona Maalim Seif humo uwanjani, sasa hii hoja yako itakuwa kwenye hisia zaidi, japo una concern ya msingi.
Wamemaliza sherehe za mapokezi ya Lisu?Ile statement ya Pm jana iliashiria hilo jambo.
Of which is very bad kubaguana hata kwenye msiba. Hii ni aibu na fedheha kwa Taifa.
Ushabiki uliopitiliza usi kuondolee uwezo wa kufikiri.Lissu ni mtu muhimu sn kuliko huyo rais wako
Fuateni tu taratibu.. Unafanya musafara baada ya Rais kufika unategemea nini?Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!
Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.
Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.
Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.
Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.
Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.
Magufuli si anakubalika? Watanzania wasingekuwa na time na Lissu maana wana Magufuli wao hivyo wangetulia tuu viongozi wa Chadema wajipitie zao wakaketi majukwaani. HAHAHAHAHA jana mlikuwa nma test zali eti kama Chadema inakubalika mlipotoka kapa mmeanza tena uhuni.Kuwa kiongozi mkubwa ni pamoja na kuwa na nidhamu , kwa hili Chadema wamekosa nidhamu..Nia yao wakazue taharuki tu kwenye msiba mbele ya Rais na wageni wake.
Acheni kiki zenu za kitoto, pangeni mipango ya maana kuelekea Uchaguzi mkuu sio sifa za Kijinga.