Kwenye msafara kunakuwepo na gari la huduma ya kwanza/Redcross. Je, kazi ya gari hilo ni kuhudumia nani kama siyo majeruhi wa ajali? Si kwamba siku zake zilikuwa zimefika. Spidi katika misafara ya viongozi ni kubwa mno utafikiri wanakimbilia mbinguni!RIP marehemu!Siku zake zilikuwa zimefika!Ni ngumu sana kuingia akilini namna ajali hiyo ilivyotokea maana huwa kuna magari yanayotangulia kutoa tahadhari labda ingekuwa gari lilikosea njia hapo ningetia neno!!Ndugu mtoa hoja yaani ulitegemea msafara usimame?umeona wapi hiyo ndugu yangu?