mgodi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 2,780
- 1,845
Ajari mbaya imetokea maeneo ya Vigwaza, msafala ulikuwa unatoka Dsm unaelekea Chalinze (Msoga). Magari matatu yamegongana, gari 1 aina ya toyota Land Cruiser ambalo lilikuwa kwenye msafara limegongana uso kwa uso na Basi la Moro Best, pia basi hilo liligonga kwa nyuma Toyota Hiace.
Dereva wa Toyota LX amefariki hapo hapo, katika ajali hiyo watu kadha wamejeruhiwa.
Dereva wa Usalama afa kumuokoa Salma Kikwete http://bit.ly/gGG9P1"
MSAFARA wa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete umepata ajali na kusababisha kifo cha dereva wa Idara ya Usalama wa Taifa, Ramadhani Mkoma, Fikra Pevu, limethibitishiwa. Habari zilizoifikia Fikra Pevu na ambazo zilianza kumiminika katika mtandao wa Jamiiorums.com zimeeleza kwamba ajali hiyo imetokea eneo la Ruvu saa 6.30 Jumapili (Februari 13,210), wakati Mama Salma akielekea katika nyumba yao mpya kijijini Msoga.
Soma Zaidi (FIKRA PEVU)
Dereva wa Toyota LX amefariki hapo hapo, katika ajali hiyo watu kadha wamejeruhiwa.
Dereva wa Usalama afa kumuokoa Salma Kikwete http://bit.ly/gGG9P1"
MSAFARA wa Mke wa Rais Mama Salma Kikwete umepata ajali na kusababisha kifo cha dereva wa Idara ya Usalama wa Taifa, Ramadhani Mkoma, Fikra Pevu, limethibitishiwa. Habari zilizoifikia Fikra Pevu na ambazo zilianza kumiminika katika mtandao wa Jamiiorums.com zimeeleza kwamba ajali hiyo imetokea eneo la Ruvu saa 6.30 Jumapili (Februari 13,210), wakati Mama Salma akielekea katika nyumba yao mpya kijijini Msoga.
Soma Zaidi (FIKRA PEVU)