Msaada

mchosho

Member
Sep 17, 2012
17
1
jamani wana jf,mimi nimsichana,memaliza chuo mwaka juzi,nimetafta ajira sijapata,naomba wenye uwezo mnipe mkopo nijiajiri,nina plan ya kufanya biashara ya chakula yani kupika.
nahtaji mtaji wa mil.moja na nusu.naamini baada ya muda ntarudisha mkopo.
naombeni mchango wenu na ushauri pia
 
jamani wana jf,mimi nimsichana,memaliza chuo mwaka juzi,nimetafta ajira sijapata,naomba wenye uwezo mnipe mkopo nijiajiri,nina plan ya kufanya biashara ya chakula yani kupika.
nahtaji mtaji wa mil.moja na nusu.naamini baada ya muda ntarudisha mkopo.
naombeni mchango wenu na ushauri pia

Hujasema umemaliza chuo gani, kozi gani, umetafuta ajira ya aina gani n.k Inabidi uwe muwazi zaidi.. kazi zipo lakini 'you have to be the best'.
Kwenye Red - inabidi uwe makini, ukiandika barua ya maombi bila kuwa makini, hufiki kwenye 'short list' ya mwanzo.. vitu wanavyoangalia ni vitu vidogo vidogo sana.
 
Hujasema umemaliza chuo gani, kozi gani, umetafuta ajira ya aina gani n.k Inabidi uwe muwazi zaidi.. kazi zipo lakini 'you have to be the best'.
Kwenye Red - inabidi uwe makini, ukiandika barua ya maombi bila kuwa makini, hufiki kwenye 'short list' ya mwanzo.. vitu wanavyoangalia ni vitu vidogo vidogo sana.

asante
 
jamani wana jf,mimi nimsichana,memaliza chuo mwaka juzi,nimetafta ajira sijapata,naomba wenye uwezo mnipe mkopo nijiajiri,nina plan ya kufanya biashara ya chakula yani kupika.
nahtaji mtaji wa mil.moja na nusu.naamini baada ya muda ntarudisha mkopo.
naombeni mchango wenu na ushauri pia

Mungu atakufungulia njia, muombe atakusaidia.
 
Ndugu yangu pole, ila hujatuambia kozi uliyosoma, na level gani, mtu anaweza akashindwa kukusaidia mtaji ila akakupa channel ya kupata kazi.

nina degree ya sheria,nimevolunteer kwa miaka iyo miwili huku nktafta kaz,lakini sijapata,
 
Back
Top Bottom