niliachana na childhood sweetheart nikaja ughaibuni,baada ya maisha kunishinda nimeamua kurudi bongo,nimemtafuta yule mpenzi wa zamani,bado hajaoa na bado ananipenda....tatizo linakuja huku ughaibuni....'nimetumika' vya kutosha....na nikikumbuka yeye size yake ilikuwa kawaida,nimchomoleee nisije kuaibika???????bado nampenda pamoja na mapungufu mengine