Msaada wenu tafadhali......

Mmmh.. Pole sana! Na K isivyokuwa na siri..ikitumika sana inachoka,inatanuka na inazidi kuwa na sura mbayaaa huo ndio ukweli...
Madawa sio mazuri wachina hawa ndio kabisaaa!!...Umerudi bongo kipumzishe sasa,ili irudi katika hali yake japo kidogo..ukianza tena ukakutana na wazee wa mkuyati ndugu yangu,utatengeneza bahari sio bwawa tena...

Mimi mnanichanganya napowasikia msemavyo kua hiyo kitu huchoka wakati mara kadhaa hiyo kitu husifiwa maneno kama " Haluwa haina makombo" " Haiwezi kua kipo" Njia ya meli haiachi alama" n.k
kujiridhisha katika hili kuna membar anaweza kutupa source biologically kama hivyo ndivyo ?
 
eh! pole! ila ata sielewi, hadi kuchoka? :shock:huko ughaibuni wakiingiza hadi magoti? duh! kama vipi mtafute bi kidude anaweza kukusaidia.
 
Mimi mnanichanganya napowasikia msemavyo kua hiyo kitu huchoka wakati mara kadhaa hiyo kitu husifiwa maneno kama " Haluwa haina makombo" " Haiwezi kua kipo" Njia ya meli haiachi alama" n.k
kujiridhisha katika hili kuna membar anaweza kutupa source biologically kama hivyo ndivyo ?

Hahahhaa....ati "haluwa haina makombo" #Ahsante!

K inatanuka na kuchoka pale inapokuwa inafanyishwa kazi kila siku na mitarimbo ya size mbali mbali....hiyo ni fact! K ina muscles na zina-stretch ila too much of something is harmful. Kama atatulia for kama a month or two itarudi kama zamani..
 
niliachana na childhood sweetheart nikaja ughaibuni,baada ya maisha kunishinda nimeamua kurudi bongo,nimemtafuta yule mpenzi wa zamani,bado hajaoa na bado ananipenda....tatizo linakuja huku ughaibuni....'nimetumika' vya kutosha....na nikikumbuka yeye size yake ilikuwa kawaida,nimchomoleee nisije kuaibika???????bado nampenda pamoja na mapungufu mengine

Una maana gani ukisema 'nimetumika vya kutosha'...hiyo ni relative term ambayo maana yake inaweza ikawa tofauti kwa wachangiaji tofauti. Kimaumbile, tissue za uke ni elastic hivi..hutanuka kutokana na reflexes fulani fulani hivi na kuwa kubwa, na pia hurudi katika hali yake ya awali baada ya hiyo dharma kupita. Hivyo sitegemei mwanamke aliyekula bakora za kutosha kupwaya kiasi cha kutaka kumtosa mpenzi wako. Hata kama wachapaji wa huko ughaibuni walikuwa wamechanjia madodoki!

Ila kama unadhani utamkwaza mpenzio huyo kwa kuona maumbile yako yameharibiwa kidogo na matumizi....kuna mazoezi yanaitwa 'Kegel exercise'. Google na yatakuelekeza unafanyaje. Unaweza yafanya popote ulipo, nyumbani, kazini hata kanisani...kwani unacheza tu na kuban-na-kuachia misuli ya ndani ya uke kama unabana mkojo hivi, haya yanasaidia sana kutight uke ukawa mnato ka wa bikra! Na zaidi unapoweza kucontrol hiyo misuli, inakusaidia kufanya hivyo hata wakati wa tendo...unabana unaachia unabana unaaachia na raha yake waliowahi fanyiwa hivyo watatestify humu.

Type nyingine ya Kegel like exercise ni kuwa...unapobanwa na mkojo chelewa kwenda kukojoa mpaka kibofu kijae kweli kweli na mkojo umebana kama unataka kutoka, then nenda chooni, kaa (choo cha kukaa preferably), halafu achia mkojo kidogo kama kwa sekunde 3 - 5, then bana! Itakuwa ngumu but dont give up kaza misuli yote hadi ubane ukatike...then unaachia tena for few seconds, kisha unabana....endelea hivyo mpaka mkojo uishe. Kisha unaanza kuujaza tena...hii inatight misuli ya ukeni, unakuwa mnato, na pia unaweza control hiyo misuli kuongeza raha wakati wa tendo..
 
niliachana na childhood sweetheart nikaja ughaibuni,baada ya maisha kunishinda nimeamua kurudi bongo,nimemtafuta yule mpenzi wa zamani,bado hajaoa na bado ananipenda....tatizo linakuja huku ughaibuni....'nimetumika' vya kutosha....na nikikumbuka yeye size yake ilikuwa kawaida,nimchomoleee nisije kuaibika???????bado nampenda pamoja na mapungufu mengine


so network haisomi somi mkuu nenda kwa Dr manjaunjau atarekebisha mambo
 
niliachana na childhood sweetheart nikaja ughaibuni,baada ya maisha kunishinda nimeamua kurudi bongo,nimemtafuta yule mpenzi wa zamani,bado hajaoa na bado ananipenda....tatizo linakuja huku ughaibuni....'nimetumika' vya kutosha....na nikikumbuka yeye size yake ilikuwa kawaida,nimchomoleee nisije kuaibika???????bado nampenda pamoja na mapungufu mengine

"kama vp mpe tigo umalize kesi.............."
 
labda sijakuelewa mdada ila sidhani kama kutumika sana kunabadilisha maumbile. no matter how much utatumika sehemu zako zinabaki vile vile, otherwise wale wamama waliotoa vichwa 10 vya watoto basi wangekua kama bwawa. mungu ameumba sehemu zile zirudi kama kawaida yake. wako ambao hawajatumika lakini sehemu zao, mmhh!!! shughuli, na wako waliotumika kupita maelezo but still minato.
 
...hiyo vijana wa mtaani wanaiita sepali lol! Anyawys jaribu kupumzika kwa muda huku ukifanya mazoezi nk. Labda itarudi!
 
sometimes its an an art

kama guitar dogo lifanye hall li-accomodate watu wadogo
na kama guitar kubwa allow the hall to expand
.
Mjini hapa utapewa hata mkaa na watu wanaingiza siku

sidhani kama kuna dawa ya kunywa.

labda angekuwa hana uzoefu na hayo ma-hall,kipindi hiki nimemuacha atakuwa amekuwa na wengine pia....so hadanganywi hivi hivi lol
 
Una maana gani ukisema 'nimetumika vya kutosha'...hiyo ni relative term ambayo maana yake inaweza ikawa tofauti kwa wachangiaji tofauti. Kimaumbile, tissue za uke ni elastic hivi..hutanuka kutokana na reflexes fulani fulani hivi na kuwa kubwa, na pia hurudi katika hali yake ya awali baada ya hiyo dharma kupita. Hivyo sitegemei mwanamke aliyekula bakora za kutosha kupwaya kiasi cha kutaka kumtosa mpenzi wako. Hata kama wachapaji wa huko ughaibuni walikuwa wamechanjia madodoki!

Ila kama unadhani utamkwaza mpenzio huyo kwa kuona maumbile yako yameharibiwa kidogo na matumizi....kuna mazoezi yanaitwa 'Kegel exercise'. Google na yatakuelekeza unafanyaje. Unaweza yafanya popote ulipo, nyumbani, kazini hata kanisani...kwani unacheza tu na kuban-na-kuachia misuli ya ndani ya uke kama unabana mkojo hivi, haya yanasaidia sana kutight uke ukawa mnato ka wa bikra! Na zaidi unapoweza kucontrol hiyo misuli, inakusaidia kufanya hivyo hata wakati wa tendo...unabana unaachia unabana unaaachia na raha yake waliowahi fanyiwa hivyo watatestify humu.

Type nyingine ya Kegel like exercise ni kuwa...unapobanwa na mkojo chelewa kwenda kukojoa mpaka kibofu kijae kweli kweli na mkojo umebana kama unataka kutoka, then nenda chooni, kaa (choo cha kukaa preferably), halafu achia mkojo kidogo kama kwa sekunde 3 - 5, then bana! Itakuwa ngumu but dont give up kaza misuli yote hadi ubane ukatike...then unaachia tena for few seconds, kisha unabana....endelea hivyo mpaka mkojo uishe. Kisha unaanza kuujaza tena...hii inatight misuli ya ukeni, unakuwa mnato, na pia unaweza control hiyo misuli kuongeza raha wakati wa tendo..

Thanks.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom