Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Mmmh.. Pole sana! Na K isivyokuwa na siri..ikitumika sana inachoka,inatanuka na inazidi kuwa na sura mbayaaa huo ndio ukweli...
Madawa sio mazuri wachina hawa ndio kabisaaa!!...Umerudi bongo kipumzishe sasa,ili irudi katika hali yake japo kidogo..ukianza tena ukakutana na wazee wa mkuyati ndugu yangu,utatengeneza bahari sio bwawa tena...
Mimi mnanichanganya napowasikia msemavyo kua hiyo kitu huchoka wakati mara kadhaa hiyo kitu husifiwa maneno kama " Haluwa haina makombo" " Haiwezi kua kipo" Njia ya meli haiachi alama" n.k
kujiridhisha katika hili kuna membar anaweza kutupa source biologically kama hivyo ndivyo ?