irumba1 JF-Expert Member May 10, 2013 882 322 Feb 11, 2014 #1 ni kwamba jf wameniunganisha na huduma ya kupokea habar kwa njia ya sms na wananikata hela,nifanyaje ili nijitoe kwenye huduma hii?
ni kwamba jf wameniunganisha na huduma ya kupokea habar kwa njia ya sms na wananikata hela,nifanyaje ili nijitoe kwenye huduma hii?
snipa JF-Expert Member Dec 10, 2013 4,215 1,656 Feb 11, 2014 #2 Tembelea uzi huu kaka kajieleze / nenda jukwa la malalamiko/ tuma emails kwenda support@jamiiforums.com au m PM Invisible . https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwa-sms-bure-mwaka-mzima-15.html#post8621172 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Tembelea uzi huu kaka kajieleze / nenda jukwa la malalamiko/ tuma emails kwenda support@jamiiforums.com au m PM Invisible . https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwa-sms-bure-mwaka-mzima-15.html#post8621172
irumba1 JF-Expert Member May 10, 2013 882 322 Feb 12, 2014 Thread starter #3 CodeR GodivA said: Tembelea uzi huu kaka kajieleze / nenda jukwa la malalamiko/ tuma emails kwenda support@jamiiforums.com au m PM Invisible . https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwa-sms-bure-mwaka-mzima-15.html#post8621172 Click to expand... ahsante ndugu nimeshawasiliana na invisible Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
CodeR GodivA said: Tembelea uzi huu kaka kajieleze / nenda jukwa la malalamiko/ tuma emails kwenda support@jamiiforums.com au m PM Invisible . https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwa-sms-bure-mwaka-mzima-15.html#post8621172 Click to expand... ahsante ndugu nimeshawasiliana na invisible
umatemate JF-Expert Member Jul 19, 2013 755 138 Feb 12, 2014 #5 sasa unataka kujitoa jf itaendaje mbele we vumilia mkuu