42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,811
Guys nahitaji kuagiza spare parts Dubai bila kwenda Dubai.
Kama kuna mtu anaweza kunipa muongozo.
Kwa Dubai.,
1. Wapi mnanunua spareparts hasa kwa gari za Kijerumani?
2. Mnatumia kampuni zipi za usafiri kwa njia ya maji na anga?
Pia kwa Upande wa Kenya, Mnanunua spare parts wapi, na logistics za kuzivusha kuja Tanzania zipoje?
Mkiweza kunisaidia hayo mawili nitashukuru.
Mungu awabariki wale ndugu zetu ambao mlitusaidia ABC za kununua vitu China aliexpress na Alibaba. Kama mimi kwangu mmechangia sehemu kubwa sana ya maiaha yangu kwa hii miaka mitatu.
Nawasilisha.
Kama kuna mtu anaweza kunipa muongozo.
Kwa Dubai.,
1. Wapi mnanunua spareparts hasa kwa gari za Kijerumani?
2. Mnatumia kampuni zipi za usafiri kwa njia ya maji na anga?
Pia kwa Upande wa Kenya, Mnanunua spare parts wapi, na logistics za kuzivusha kuja Tanzania zipoje?
Mkiweza kunisaidia hayo mawili nitashukuru.
Mungu awabariki wale ndugu zetu ambao mlitusaidia ABC za kununua vitu China aliexpress na Alibaba. Kama mimi kwangu mmechangia sehemu kubwa sana ya maiaha yangu kwa hii miaka mitatu.
Nawasilisha.