Msaada wako kwa huyu mdada tafadhali

:twitch:Salamu kwa malaya woteeeeeeeeeeeeeee hasa wale wake za watu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Mimba zaidi zitakuja hapa! Hata HIV hamwogopi jamani? Ndo sema waume zenu hawawakuni ipasavyo au? Tamaa zenu ndo kaburi lenu!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S 20:

Mhhhhhh na wewe yakikufika utarudi humuhumu jf, usimhukumu binadamu mwenzio
 
mapenzi hayana usiri kabisaaa
mtaficha sana input, output lazima zitoe kishindo
dawa ni kumweka bibie mke mwenza
 
Wana JF napenda kuwataarifu kuwa baada ya comments zenu kumfikia yule dada alikwenda hosipitali kubwa kama mmoja wetu alivyoshauri lakini aliambiwa hawezi kufanyiwa abortion mpaka apige ultura sound baada ya matokeo kwa ushauri wa dakitari aliambiwa mimba itolewe kwasabu imetunga nje ya tumbo la uzazi.

Anawashukuruni sana kwa msaada wenu maana imemsaidia kufika hospitali na kugundua hilo tatizo.

Mungu awabariki sana.

Zaburi 6 msitari wa 1-10. Muwe na asubuhi njema
 
Wana JF napenda kuwataarifu kuwa baada ya comments zenu kumfikia yule dada alikwenda hosipitali kubwa kama mmoja wetu alivyoshauri lakini aliambiwa hawezi kufanyiwa abortion mpaka apige ultura sound baada ya matokeo kwa ushauri wa dakitari aliambiwa mimba itolewe kwasabu imetunga nje ya tumbo la uzazi.

Anawashukuruni sana kwa msaada wenu maana imemsaidia kufika hospitali na kugundua hilo tatizo.

Mungu awabariki sana.

Zaburi 6 msitari wa 1-10. Muwe na asubuhi njema
Akitoka hospitali mwambie aje humu asome sheria mama za Infii hayata mkuta tena yalio mkuta!
 
Hiyo ndiyo best penalt kwa wanaocheat!! Pregnancy???? Inamaana kwa asilimia 100 walikua wanaenda pekupeku??? Problem inawezekana siyo mimba peke yake, possibly ameshakanyaga miwaya pia. Mshauri akacheki na ikiwezekana amweleze mume wake!!!
 
Wana JF napenda kuwataarifu kuwa baada ya comments zenu kumfikia yule dada alikwenda hosipitali kubwa kama mmoja wetu alivyoshauri lakini aliambiwa hawezi kufanyiwa abortion mpaka apige ultura sound baada ya matokeo kwa ushauri wa dakitari aliambiwa mimba itolewe kwasabu imetunga nje ya tumbo la uzazi.

Anawashukuruni sana kwa msaada wenu maana imemsaidia kufika hospitali na kugundua hilo tatizo.

Mungu awabariki sana.

Zaburi 6 msitari wa 1-10. Muwe na asubuhi njema

Sasa atulie kwenye ndoa yake!..hilo jamaa linalomsumbua aliitie polisi bladibastadi!
Ikiwezekana amfuate mumewe abroad..japo nafsi itamsuta siku zote za maisha yake kuhusu hiyo mimba!..maisha yaendelee lakini!!
 
Sasa atulie kwenye ndoa yake!..hilo jamaa linalomsumbua aliitie polisi bladibastadi!
Ikiwezekana amfuate mumewe abroad..japo nafsi itamsuta siku zote za maisha yake kuhusu hiyo mimba!..maisha yaendelee lakini!!

BJ bwana ushauri umetulia kweli nimeupenda dear
 
Ndoa yake si muhimu kama mtoto, kwa sababu ingekuwa muhimu asinge-cheat na kama alikuwa hataki mtoto angetumia kinga. So azae tu, kisha maisha yaendelee. Mumewe anaweza kumsamehe pia kama hajaokota na wadudu wengine.
 
Ndoa yake si muhimu kama mtoto, kwa sababu ingekuwa muhimu asinge-cheat na kama alikuwa hataki mtoto angetumia kinga. So azae tu, kisha maisha yaendelee. Mumewe anaweza kumsamehe pia kama hajaokota na wadudu wengine.
<br /> girlie ushauri wako mzuri ila umechelewa
<br />
 
Nawasalimu tena kwa mara ya pili wakubwa shikamooni wadogo habari zenu.

Wakubwa naombeni msaada wenu wa mawazo,kuna mdada rafiki yangu na jirani yangu pia mumewe yuko nje ya nchi mie sikujua kumbe ana mwanaume anacheat nae,na ktk uhusiano wao mdada amepata mimba anataka aitoe ili kunusuru ndoa yake,alipomshirikisha jamaa anaecheat nae kuwa waitoe hy mimba jamaa kamjia juu sana na kumwambia hakuna kutoa na wala hajawahi kufanya hivyo! Ajabu sasa jamaa nae ana mke na watoto wanne!kwa sasa jamaa amesitisha mawasiliano yote ya simu na email hadi facebook kablock kisa hataki mimba itolewe,huyu mdada kachanganyikiwa alifanya siri lkn juzi kati hapa ilibidi anishirikishe kutaka ushauri,naombeni mawazo yenu juu ya huu utata wa hawa wenye ndoa.


:mimba::mimba::mimba:

Insanity is doing the same thing again and again, and then somehow do expect different results!
:biggrin1::biggrin1::pound::pound:
Wanaume/wanawake wa siku hizi wajanja bana mimi nikikaa mwezi tu bila kumuona wa kwangu nikirudi lazima Angaza ndo mlango wa kwanza tukimaliza hapo jamaa naye anaanza tupite hapo tununue Pregnancy Test ili kama imo nijue si yangu vivyo hivyo nikiondoka au akiondoka. sokumbambikia ni naona kama ni ngumu. Mawazo yangu tu lakini
:mimba::mimba::A S 103::A S 103:

Wana JF napenda kuwataarifu kuwa baada ya comments zenu kumfikia yule dada alikwenda hosipitali kubwa kama mmoja wetu alivyoshauri lakini aliambiwa hawezi kufanyiwa abortion mpaka apige ultura sound baada ya matokeo kwa ushauri wa dakitari aliambiwa mimba itolewe kwasabu imetunga nje ya tumbo la uzazi.

Anawashukuruni sana kwa msaada wenu maana imemsaidia kufika hospitali na kugundua hilo tatizo.

Mungu awabariki sana.

Zaburi 6 msitari wa 1-10. Muwe na asubuhi njema
$%^**&*&^*^%%>>>>>...%(&*%$%()+_+__)*....????????????:smow::sick::sick:

Akitoka hospitali mwambie aje humu asome sheria mama za Infii hayata mkuta tena yalio mkuta!
:tonguez::tonguez::tonguez:

Mie sio kuwadi Kimey taratibu eehhh
:A S 103::A S 103::A S 103:


Babu ameshindwa cha kukomenti kabisaaaaaa!

Kwa hiyo mimba ishatolewa kwa kuwa mtoto alikuwa nje ya KIZAZI..... Hapa binadamu kwa ujinga wake anafanya mauaji na anayahalalisha kwa kisingizio cha mimba nje ya Uzazi...... Pambafu sana nyie!

Ya Kwelli kabisa Baba_Enock hii kitu uloandika hapa:

Insanity is doing the same thing again and again, and then somehow do expect different results!
 
Nawasalimu tena kwa mara ya pili wakubwa shikamooni wadogo habari zenu.

Wakubwa naombeni msaada wenu wa mawazo,kuna mdada rafiki yangu na jirani yangu pia mumewe yuko nje ya nchi mie sikujua kumbe ana mwanaume anacheat nae,na ktk uhusiano wao mdada amepata mimba anataka aitoe ili kunusuru ndoa yake,alipomshirikisha jamaa anaecheat nae kuwa waitoe hy mimba jamaa kamjia juu sana na kumwambia hakuna kutoa na wala hajawahi kufanya hivyo! Ajabu sasa jamaa nae ana mke na watoto wanne!kwa sasa jamaa amesitisha mawasiliano yote ya simu na email hadi facebook kablock kisa hataki mimba itolewe,huyu mdada kachanganyikiwa alifanya siri lkn juzi kati hapa ilibidi anishirikishe kutaka ushauri,naombeni mawazo yenu juu ya huu utata wa hawa wenye ndoa.



duuuuh!Hiyo kali!
 
<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/preggers.gif" border="0" alt="" title="Preggers" smilieid="259" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/preggers.gif" border="0" alt="" title="Preggers" smilieid="259" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/preggers.gif" border="0" alt="" title="Preggers" smilieid="259" class="inlineimg" /><br />
<br />
<br />
<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/biggrin1.gif" border="0" alt="" title="Biggrin1" smilieid="129" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/biggrin1.gif" border="0" alt="" title="Biggrin1" smilieid="129" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/pound.gif" border="0" alt="" title="Pound" smilieid="247" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/pound.gif" border="0" alt="" title="Pound" smilieid="247" class="inlineimg" /><br />
<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/preggers.gif" border="0" alt="" title="Preggers" smilieid="259" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/preggers.gif" border="0" alt="" title="Preggers" smilieid="259" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S 103.gif" border="0" alt="" title="A S 103" smilieid="97" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S 103.gif" border="0" alt="" title="A S 103" smilieid="97" class="inlineimg" /><br />
<br />
$%^**&amp;*&amp;^*^%%&gt;&gt;&gt;&gt;&gt;...%(&amp;*%$%()+_+__)*....????????????<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smow.gif" border="0" alt="" title="Smow" smilieid="291" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/sick.gif" border="0" alt="" title="Sick" smilieid="279" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/sick.gif" border="0" alt="" title="Sick" smilieid="279" class="inlineimg" /><br />
<br />
<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/tongue.png" border="0" alt="" title="Tongue" smilieid="323" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/tongue.png" border="0" alt="" title="Tongue" smilieid="323" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/tongue.png" border="0" alt="" title="Tongue" smilieid="323" class="inlineimg" /><br />
<br />
<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S 103.gif" border="0" alt="" title="A S 103" smilieid="97" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S 103.gif" border="0" alt="" title="A S 103" smilieid="97" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S 103.gif" border="0" alt="" title="A S 103" smilieid="97" class="inlineimg" /><br />
<br />
<br />
Babu ameshindwa cha kukomenti kabisaaaaaa!<br />
<br />
Kwa hiyo mimba ishatolewa kwa kuwa mtoto alikuwa nje ya KIZAZI..... Hapa binadamu kwa ujinga wake anafanya mauaji na anayahalalisha kwa kisingizio cha mimba nje ya Uzazi...... Pambafu sana nyie!<br />
<br />
Ya Kwelli kabisa Baba_Enock hii kitu uloandika hapa:
<br />
<br />
Jamaa we mchokozi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom