scientist 08
Member
- Aug 8, 2017
- 66
- 39
Kisa kipo hivi, Jamaa walikuwa kwenye mahusiano na mdada miaka sita, huyu dada alikuwa amalize huu Mwaka chuo harakati za ndoa zianze, kuna miezi iliyopita Mdada alipitia kwa jamaa akitokea chuo hivyo wakafanya ya kiutuzima, badae mdada akasema amepata mimba Yake, hivyo wakatambulishana nyumbani na Jamaa akaanza kulea mimba.
Mdada amerudi chuo akiwa na mimba huku Jamaa anajiandaa akitoka amuoe akajifungulie Nyumbani kwake kama walivyokubaliana wazazi wa pande mbili. Sasa gafla binti akasema anaumwa na jamaa akatuma pesa ya matibabu , baadae mdada anamwambia amejifungua mtoto mzma na mwenye miezi timilifu
Mdada alipoulizwa mimba gani ya miezi hii mtu anaweza jifungua?? Mdada kajibu kumbe alijichanganya kuna jamaa walikutana itakuwa ndo mimba yake hivyo anaomba jamaaa amsamehe na wazazi wasijue, binti amelia hii Week nzima lakini jamaa nae amegoma hamtaki tena na anataka wazazi wajue
Upande wangu nimemshauri amsamehe na maisha yaendelee, mtoto akikuwa apewe Baba yake
Mdada amerudi chuo akiwa na mimba huku Jamaa anajiandaa akitoka amuoe akajifungulie Nyumbani kwake kama walivyokubaliana wazazi wa pande mbili. Sasa gafla binti akasema anaumwa na jamaa akatuma pesa ya matibabu , baadae mdada anamwambia amejifungua mtoto mzma na mwenye miezi timilifu
Mdada alipoulizwa mimba gani ya miezi hii mtu anaweza jifungua?? Mdada kajibu kumbe alijichanganya kuna jamaa walikutana itakuwa ndo mimba yake hivyo anaomba jamaaa amsamehe na wazazi wasijue, binti amelia hii Week nzima lakini jamaa nae amegoma hamtaki tena na anataka wazazi wajue
Upande wangu nimemshauri amsamehe na maisha yaendelee, mtoto akikuwa apewe Baba yake