memory card
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 252
- 153
Salam,
Ndugu zangu naomba ufafanuzi wa kitaalamu nilinunua kiwanja ambacho kimepimwa kabisa na kiukweli kilikuwa kikubwa sio mtaalam sana ila wakati tunahesabu hatua ilikua 60 kwa 40 na kipo kwenye makazi ya watu kiufupi kamji kanakuwa kweli huku kwetu swax.
Nilivyoona hiki kiwanja ni kikubwa nikamkatia jamaa flani migu 20 maana yake kiwanja 1 kilichopimwa mi nikamkatia jamaa miguu 20 kwa hiyo mpaka sasa vimekuwa 2.
1) Je kuna athari yeyote mbeleni huko?
2) Kuna uwezekano wa kupimwa tena vitoke viwili maana yake wagawe pale kati mpakani kwa jamaa?
3) Nikitaka hati inakuaje?
Ndugu zangu naomba ufafanuzi wa kitaalamu nilinunua kiwanja ambacho kimepimwa kabisa na kiukweli kilikuwa kikubwa sio mtaalam sana ila wakati tunahesabu hatua ilikua 60 kwa 40 na kipo kwenye makazi ya watu kiufupi kamji kanakuwa kweli huku kwetu swax.
Nilivyoona hiki kiwanja ni kikubwa nikamkatia jamaa flani migu 20 maana yake kiwanja 1 kilichopimwa mi nikamkatia jamaa miguu 20 kwa hiyo mpaka sasa vimekuwa 2.
1) Je kuna athari yeyote mbeleni huko?
2) Kuna uwezekano wa kupimwa tena vitoke viwili maana yake wagawe pale kati mpakani kwa jamaa?
3) Nikitaka hati inakuaje?