Msaada wa ku remove software

Original Pastor

JF-Expert Member
Nov 14, 2007
1,274
50
Habari wakuu wangu poleni na majukumu

Naomba msaada wa kuremove software kwani nimejaribu ku uninstall imenigomea sasa na mimi natumia LG laptop

Nasubiri wakuu wangu
 
Software gani?
Umejaribu kutumia Add/Remove Programs kwenye Control Panel ikakataa?

Unaweza ukadelete program folder yake, mara nyingi ipo kwenye C:\Program Files\Jina la program, pia itabidi udelete shortcuts kwenye start menu na desktop kama zipo.
 
kama umeshindwa mpaka sasa,mi nina software inaitwa Registry Mechanic tool ambayo inaweza kufanya hiyo kazi,kama hauna just contact me through 0716 31 77 21 if u want.
 
Habari wakuu wangu poleni na majukumu

Naomba msaada wa kuremove software kwani nimejaribu ku uninstall imenigomea sasa na mimi natumia LG laptop

Nasubiri wakuu wangu

ya weKwa kujazia majibu nzangu hapo juu, unaweza kuondoa hiyo program inayogoma kwa kutumia programu nyingine. Mie mwenyewe nilijaribu kuondoa Nero 7 kwenye windows vista (haiendani na windows vista) na ilikuwa inagoma, nikafuata hatua alizopendekeza Kang hapo juu ikagoma vilevile. Niliweka programme ya REVO UNINSTALLER ambayo hutumika kuondolea programu sumbufu, ikaondoa hiyo Nero moja kwa moja. Programu hiyo ni bure, just download and install na ukishamaliza inaiondoa! Kuichukua hio programu, gonga katika bold hapo juu.
 
ya weKwa kujazia majibu nzangu hapo juu, unaweza kuondoa hiyo program inayogoma kwa kutumia programu nyingine. Mie mwenyewe nilijaribu kuondoa Nero 7 kwenye windows vista (haiendani na windows vista) na ilikuwa inagoma, nikafuata hatua alizopendekeza Kang hapo juu ikagoma vilevile. Niliweka programme ya REVO UNINSTALLER ambayo hutumika kuondolea programu sumbufu, ikaondoa hiyo Nero moja kwa moja. Programu hiyo ni bure, just download and install na ukishamaliza inaiondoa! Kuichukua hio programu, gonga katika bold hapo juu.
Mkuu Idimi,
Link hiyo inakupeleka jamii forum tu haikupeleki kwenye link ya ku download.
 
Wakuu wangu Program ambazo hazitaki kuondoka ni>
1.Nero new version inagoma,
2.PC optimizer Pro. up pia inagoma na
3.Format factory
 
Wakuu wangu Program ambazo hazitaki kuondoka ni>
1.Nero new version inagoma,
2.PC optimizer Pro. up pia inagoma na
3.Format factory


Good!
Ukisoma maelezo yangu hapo juu, hata mie nilisumbuliwa na programu ya nero.
Fuata maelekezo hapo juu, ukishamaliza uje utoe ripoti ili na wenzako wafaidike. Hakuna kitu kinachoshindikana penye wengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom