Naombeni wana JF mnisaidie katika jambo hili.Hivi kama jimbo limemchagua mbunge na bado hajaapishwa,sheria inasemaje katika hilo?
Hapa Arumeru Mashariki mbunge aliyechaguliwa anaumwa hata kabla ya kampeni za mwaka jana.Lakini kutokana na upumbavu wa wanaArumeru wachache wakampa ubunge eti kwa kuwa ni mzee na tene niwa CCM.
Huyu mzee naambiwa amelazwa mpaka leo na hajaapishwa.Vipi ni mbunge halali kweli?
Aliwahi kuwa naibu waziri wa Fedha 2005/10.
Mpumbavu ni wewe na siyo wana Arumeru. Wao wametumia haki yao ya kikatiba ya kumchagua mtu wanayemtaka.
Wewe unadhani Arumeru na Arusha mjini ni wapi CDM wametawala?...hebu nipe namba ya madiwani wa meru ambao ni CDM na madiwani wa Arusha ambao ni cdm.Halafu labda ndio nitafahamu wapi CCMwana jimbo na wapi CDM wana jimbo.
Kwanza tulisikia alihonga dakika za mwisho alikuwa ameisha bwagwa huyo. Hao wameru huwa siwaelewagi kabisa ni kama kwetu huku wazinza ni kama wameru kabisa wana kuwa na mambo ya ajabu ajabu sana na mihasira ya kufa mtu.
My Take;
Speaker wa bunge mpaka sasa haja liona hilo au ni kuta kujiongezea kiti (CCM) ndani ya bunge??
Mpumbavu ni wewe na siyo wana Arumeru. Wao wametumia haki yao ya kikatiba ya kumchagua mtu wanayemtaka.