Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,116
Joshua Nassari amechukua fomu ya kuomba kupeperusha bendera ya CCM katika jimbo la Arumeru.
Joshua Nassari aliwahi kuwa mbunge wa Arumeru kupitia tiketi ya CHADEMA na baadae alivuliwa ubunge na Speaker wa bunge kwa kosa la utoro. Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni
Lakini pia alichukua uamuzi wa kwenda mahakamani kupinga uamuzi wa kuvuliwa ubunge napo aliangukia pua baada ya kujikuta akishindwa kesi mahakamani na hivyo kupoteza ubunge wake. Mahakama Kuu Dodoma: Joshua Nassari ashindwa kesi yake ya kuvuliwa ubunge
Baadae alichukua maamuzi magumu kama alivyoyaita na kuamua kuondoka CHADEMA na kuhamia chama cha Mapinduzi, ambako yupo mpaka sasa akiomba ridhaa ya kugombea ubunge tena kupitia CCM kwenye jimbo lilelile la Arumeru. News Alert: - Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa
Joshua Nassari aliwahi kuwa mbunge wa Arumeru kupitia tiketi ya CHADEMA na baadae alivuliwa ubunge na Speaker wa bunge kwa kosa la utoro. Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni
Lakini pia alichukua uamuzi wa kwenda mahakamani kupinga uamuzi wa kuvuliwa ubunge napo aliangukia pua baada ya kujikuta akishindwa kesi mahakamani na hivyo kupoteza ubunge wake. Mahakama Kuu Dodoma: Joshua Nassari ashindwa kesi yake ya kuvuliwa ubunge
Baadae alichukua maamuzi magumu kama alivyoyaita na kuamua kuondoka CHADEMA na kuhamia chama cha Mapinduzi, ambako yupo mpaka sasa akiomba ridhaa ya kugombea ubunge tena kupitia CCM kwenye jimbo lilelile la Arumeru. News Alert: - Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa