Pole mkuu. Kama hujapata msaada bado, agha khan napaamini sana kwa emergency. Hakuna dili wala kujuana, ukifika nenda straight casuality, dr hata kama yupo harusini atakuja na keki mkononi.
All the best, tatizo sio la kutisha akipata dawa sahihi hutakumbuka tena hii shida.
Nawashukuru sana wadau wote kwa michango yenu, ila nimempata leo Dr ambaye atanipeleka Muhimbili na Mama Asubuhi kumuona specialist wa case yake, na nimefalijika baada ya huyu Dr kumpiga sindano Mama ya kumuondolea maumivimu angalau kwa leo mpaka tutapokwenda kesho muhimbili kwa ajili ya vipimo sahihi.
Asanteni sana.
nakushauri kutokana na mgomo uliopo, nenda pale Muhimbili Fast Track waulize manesi watakupatia jina na namba ya daktari unayemtaka. Mara nyingi mm huwa naenda pale kupata taarifa za aina yako
Pili nenda MOI wataalamu wa mifupa kwenye private clinic , watakusaidia kupata daktari wa mifupa
MR ndio jukwaa lipi hilo!!??
Maspecialist wote wa Muhimbili leo wana kikao na Mkurugenzi Mkuu, nimeona bora kwanza apate msaada wa haraka, nimempeleka Dar Group na amelazwa bado anachukuliwa vipimo zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.