Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,401
- 92,736
Nawasalimu wadau wote wa MMU.
Namuuguza mama yangu mzazi sasa yapata wiki ya pili baada ya kumfanyia vipimo vya xray pale Hindu mandal majibu yameonesha kwamba anasumbuliwa na tatizo la moyo kuwa mkubwa, pili upungufu wa calcium yaani mifupa kuanzia kiunoni kuja chini imesagiga, na mishipa yake ya damu imesinyaa.
Sasa basi ile dozi aliyopewa Hindu Mandal inabidi atumie siku 14 lakini bado haijamsaidia lolote zaidi ya kuwa kwenye maumivu makali sana mpaka kufikia kulia, sijkuwahi kumuona mama yangu akilia kwa ugonjwa.
Sasa nahitaji msaada kwa member yeyote anaemfahamu specialist wa magonjwa hayo wa Muhimbili Hospital ili nifanye utaratibu wa kumuona leo hii, kumbukeni siwezi kwenda kichwa kichwa muhimbili kwani kuna mgomo wa madaktari.
N:B. Nimeiweka hii thread hapa kwa sababu nahitaji msaada wa haraka leo hii, mods naomba muiache hapa hapa.
Namuuguza mama yangu mzazi sasa yapata wiki ya pili baada ya kumfanyia vipimo vya xray pale Hindu mandal majibu yameonesha kwamba anasumbuliwa na tatizo la moyo kuwa mkubwa, pili upungufu wa calcium yaani mifupa kuanzia kiunoni kuja chini imesagiga, na mishipa yake ya damu imesinyaa.
Sasa basi ile dozi aliyopewa Hindu Mandal inabidi atumie siku 14 lakini bado haijamsaidia lolote zaidi ya kuwa kwenye maumivu makali sana mpaka kufikia kulia, sijkuwahi kumuona mama yangu akilia kwa ugonjwa.
Sasa nahitaji msaada kwa member yeyote anaemfahamu specialist wa magonjwa hayo wa Muhimbili Hospital ili nifanye utaratibu wa kumuona leo hii, kumbukeni siwezi kwenda kichwa kichwa muhimbili kwani kuna mgomo wa madaktari.
N:B. Nimeiweka hii thread hapa kwa sababu nahitaji msaada wa haraka leo hii, mods naomba muiache hapa hapa.