hao T-mobile usiwaamini, 3g inaandika 4g, kujua kama sio 4g download app ya speedtest halafu pima speed utaona ni speed ya 3g.Pamoja mkuu,pia kuna possibility ya simu kutokua labda na band 800 lakin ikapga kaz 4g ya tigo? Kuna mtu ana G2 ya Tmobile haina frequency za tigo ila 4G inapga kaz
Jamaa ni wahuni kiasi hichohao T-mobile usiwaamini, 3g inaandika 4g, kujua kama sio 4g download app ya speedtest halafu pima speed utaona ni speed ya 3g.
wamarekani hspa+, H+ wanaita 4g sababu kipindi ulaya na Asia wana 4G mitandao yao ilikuwa bado haina 4g hivyo ili kuwabrainwash wateja wakaamuru makampuni ya simu yatakayoleta simu kwenye mitandao yao 3g waiite 4g.
hata sasa hivi kuna figisu figisu wanasema wana 5g wao (wakati hata standard hazijaekwa) hivyo usishangae mwakani ukaona simu ya T-mobile kwenye 4g ikaandika 5G
Tigo sasa Ameanza kutumia masafa ya 1800 hivi karibuni kwa 4Gtigo na smile ni 800mhz
voda na ttcl ni 1800mhz
-smart ni 2300mhz
Chifu mbona Nimeona 4G kwa Mitandao yote ni 800mhz BAND 20 kasoro Zantel ndo wanatumia 1800tigo na smile ni 800mhz
voda na ttcl ni 1800mhz
-smart ni 2300mhz
Sio kweli ,hizi Website nyingine hazipo update.Frequncy band ni kama hizo hapo juu...ila tigo naye kaongeza masafa yupo kwenye masafa ya 1800MhzChifu mbona Nimeona 4G kwa Mitandao yote ni 800mhz BAND 20 kasoro Zantel ndo wanatumia 1800
WillMyPhoneWork.net - Check if your phone works on a network
Mkuu source sahihi ni website ya mtandao husika hizo site nyengine si za kuamini sanaChifu mbona Nimeona 4G kwa Mitandao yote ni 800mhz BAND 20 kasoro Zantel ndo wanatumia 1800
WillMyPhoneWork.net - Check if your phone works on a network
Maeneo gani? Simu yangu haina 800mhz ina 1800 na line yangu ni ya 4g ila sijawahi pata 4g yaoTigo sasa Ameanza kutumia masafa ya 1800 hivi karibuni kwa 4G
Oooh sawaMkuu source sahihi ni website ya mtandao husika hizo site nyengine si za kuamini sana
Inategemea na line yenyewe uliyonayo kuna line za Tigo zimeandikwa 4G lkn hazisapoti 4G.Maeneo gani? Simu yangu haina 800mhz ina 1800 na line yangu ni ya 4g ila sijawahi pata 4g yao
sidhani kama ni sahihi ni simu ndio hazikubali 4g sio line.Inategemea na line yenyewe uliyonayo kuna line za Tigo zimeandikwa 4G lkn hazisapoti 4G.
Kuanzia maeneo ya shule ya uhuru mpaka mitaa ya Samora na posta...bi hivi karibuni wameanza sidhani kama maeneo mengine wameshaanza kurusha kwa masafa hayoMaeneo gani? Simu yangu haina 800mhz ina 1800 na line yangu ni ya 4g ila sijawahi pata 4g yao