mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,867
- 8,278
Wakuu nisiwapotezee muda, kwanza kabisa nikiri kuwa sina utalaamu na mambo ya watoa huduma za mawasiliano hapa Tanzania hasa makampuni ya simu.
Tatizo langu ni kuwa nilinunua smart tv na kuja nayo huku wilayani nikitegemea nitaweza kutumia intanet ya TTCL kupitia simu za waya kama vile wanavyojitangaza kwenye vipeperushi.
Bahati mbaya sana TTCL ya hapa wilayani ni kama imekufa kwani hawatoi huduma ya simu za waya au mezani wanadai nyaya zote zimeibiwa na vibaka na nikaambiwa niandike jina ili huduma ya mkonga wa Taifa ikija basi niwe kati ya watu wa kwanza kuhudumiwa lakini hadi sasa hakuna lolote linalofanyika
Sasa imebidi labda niwe najaribu mara moja moja kutumia hizi 4G router zinazotangazwa na hawa watoa huduma za simu.
Sijui kwa uzoefu wenu hasa huku mawilayani ni 4G router ya kampuni gani inafaa?
Ni hilo tu manguli wa teknolojia.
Tatizo langu ni kuwa nilinunua smart tv na kuja nayo huku wilayani nikitegemea nitaweza kutumia intanet ya TTCL kupitia simu za waya kama vile wanavyojitangaza kwenye vipeperushi.
Bahati mbaya sana TTCL ya hapa wilayani ni kama imekufa kwani hawatoi huduma ya simu za waya au mezani wanadai nyaya zote zimeibiwa na vibaka na nikaambiwa niandike jina ili huduma ya mkonga wa Taifa ikija basi niwe kati ya watu wa kwanza kuhudumiwa lakini hadi sasa hakuna lolote linalofanyika
Sasa imebidi labda niwe najaribu mara moja moja kutumia hizi 4G router zinazotangazwa na hawa watoa huduma za simu.
Sijui kwa uzoefu wenu hasa huku mawilayani ni 4G router ya kampuni gani inafaa?
Ni hilo tu manguli wa teknolojia.