Tatizo la kujichua ni mwaka wa tatu sasa nimeshindwa kuacha,nimejaribu kwa kipindi kirefu lakini nimeshindwa,kufanya ngono na prostitutes imekuwa kawaida,maisha yangu yamekuwa ya upweke sana pamoja na bidii kubwa ya kutongoza kwa maneno na vitendo wengi wameishia kunifanya kuwa rafiki tu, kutoswa na mademu kama nimechanjiwa hivi.I am so lonely,sina wa kunisapot au kuniliwaza,pamoja na kuwa na uwezo kidogo,simuhitaji mtu wa kuwa na mimi kwa sabab ya uwezo wangu, Elimu nina degree ya computer science na nimejiajili hapa Mbeya. Tatizo langu kwa hawa akina dada sielewi ni nini,kiukweli sura na umbo vinaridhisha.Ni miaka mitatu sasa kila napogusa ni kibuti. Nimekata tamaa na habari ya mapenzi,nahisi ni kitu ambacho haki-exist,sijui nina mkosi gani. Nafeel insecure hata kuapproach,huzuni hii ya kuwa lonely inanifanya nionekane five years plus my actual age. Wasichana zaidi ya 12 wote nimekula vya mbavu nahisi kama nimerogwa au cjui kwa sabab sidanganyi.,from decent girls mpaka micharuko. Hali hii ya kuwa lonely na nyeto ilinathiri kisaikolojia kiasi kwamba kimasomo ckuweza kuperform kwa uwezo nilionao,
Wasichana nilio-approach wengi waliniambia they are nt ready to date,after few days nawakuta wana-date na watu ambao kwa mtazamo wa nje wa haraka haraka ni inferior to me (sina lengo la kumshusha mtu ,ni mtazamo tu unaoongozwa na hisia za kibinaadamu)
Naombeni ushauri:-
Nifanyeje na mimi nionje ladha ya kupendwa hata mara moja halafu nitendwe nisitamani kupenda tenaaaa,
Nsingependa kurudi kwa prostitutes kwani ni maisha ambayo yananifanya nijihisi hatia daily.
Natamani niache kujichua ,nimechoka na hali hii
Msaada wa haraka ndugu zangu
Wasichana nilio-approach wengi waliniambia they are nt ready to date,after few days nawakuta wana-date na watu ambao kwa mtazamo wa nje wa haraka haraka ni inferior to me (sina lengo la kumshusha mtu ,ni mtazamo tu unaoongozwa na hisia za kibinaadamu)
Naombeni ushauri:-
Nifanyeje na mimi nionje ladha ya kupendwa hata mara moja halafu nitendwe nisitamani kupenda tenaaaa,
Nsingependa kurudi kwa prostitutes kwani ni maisha ambayo yananifanya nijihisi hatia daily.
Natamani niache kujichua ,nimechoka na hali hii
Msaada wa haraka ndugu zangu