Msaada tutani; Nina hali ngumu sana, nisaidieni kazi niweze kujikwamua

tembea uonemkuu...kati ya nyumba 50 nyumba 35 wenye sauti ni wanawake kwasababu uanaume wenu mnaupoteza kila siku....wanatake charge.. simameni kiume muone kama wanawake watawakalia kichwani
Ni point umezungumza kuwa “simameni kiume muone kama wanawake watawakalia kichwani”.

Nakubaliana na wewe 💯 matatizo haya yanasababishwa na sisi wenyewe wanaume. Kimaumbile mwanaume ni mtawala ila cha ajabu familia nyingi mtawala ni mwanamke, popote utapoona matoto hayana adabu hapo ujue baba kafeli ni familia inaongozwa na mama.
 
Mkuu inategema ''ntu na ntu''. Kuna wanawake jeuri hujapata kuona. Yuko tayari mzipige pale Mwenge stendi na wote nguo ziwavuke. Kwa hali kama hii unaona utaonekana kichaa, unaamua kukaa kimya.
Ni kweli unachosema, ila sema si kila mwanamke au mwanaume anafaa kwa ndoa. Tatizo linakuja pale tunapoanzisha ndoa kwa tamaa za kimwili bila kumchunguza madhaifu yake na kujiuliza kama utayamudu.
 
Wewe ni karibia ningekuita baba lakini najikuta nakudharau kwa mambo fulani.

Unampaje mwanamke hela zote au nyingi akutunzie?

Uliporudi nyumbani ukakuta mabadiliko ya kipumbavu uliyavumiliaje badala ya kuchukua hatua nzitonzito?

Ulipokimbia nyumbani wakati huohuo mke wako mliyeishi miaka mingi kakupotezea hela nyingi na kaanzisha mahusiano na kijana ulikuwa na maana gani?

Unataka tukuonee huruma wakati unatia hasira kulikoni?

Yani wewe mzee hata ukiwaeleza watoto wako wanaokupendahali halisi watapandwa na hasira na kujiuliza huyu ni baba gani?

Yani unakomaa huko kwenye kazi za kuajiriwa unamtumia mama mshahara wote alafu urudi nyumbani ukute mauzauza tena anagawa nje alafu badala utumie mamlaka yako unaamua kukimbia nyumbani, serious tena anaenda kutafuta mwanamke mwingine uishi nae?

Pumbav
Tulia
 
Umeacha nyumba yako mkeo anattyombewa kiulaini.
Siku hizi wanaume ndio tunakimbia nyuma na sio wanawake tena.
Aisee kama ni kweli umezingua jombaa!!
 
Ndugu zangu,

Wanajamvi, umofia kwenu,

Ndugu zangu me ndugu yenu nimezingirwa nipo katikati ya maisha na mbinguni.

Naomba nijieleze kidogo.

Ndugu zangu me member hapa tangu mwaka 2013, ni zaidi ya miaka 10 sasa. Tangu niwe hapa sijawahi kulumbana na mtu, kugombana, kumfanyia fitina au kumtapeli mtu yeyote. Kama kuna yeyote niliwahi kumfanyia chochote kibaya iwe hapa au kwingineko anaweza kuniumbua hapa.

Ndugu zangu me nilioa tangu mwaka 1998 nikiwa mkoani.. Baadae mwaka 2007 nikahamia dar kutafuta maisha zaidi na wakati huo tayari tulikuwa tumejaaliwa watoto 3. Mambo hayakuwa km nilivyotarajia, mambo yalikuwa magumu haswa lkn km mwanaume nilipambana kuhakikisha maisha yanaendelea.

Nilijtafuta mpakaa kufikia mwaka 2010 mambo ndo yakaanza kukaa vyema..! Biashara niliyokuwa nafanya wakati huo iliniendea vizuri sana! Kiufupi kuanzia huo mwaka 2010 mpaka 2017. Nilikuwa nimefanikiwa kwa kiasi ukilinganisha na nilikotoka...mwaka 2014 nilifanikiwa kununua sehemu iliyokuwa na slop mbili.. Moja ya vyumba 3 na nyingine ya vyumba 2. Kwa milioni 14 na bank nilikuwa na zaidi ya milioni 30.

Mwaka 2015 nikaibomoa ile slop ya vyumba 3 nikaanza kujenga nyumba kubwa.. Ile slop ya vyumba 2 nikaiacha.. Nilinyanyua nyumba ya vyumba 3 vya kulala.. Nyumba ilikamilika ujenzi wake mwaka 2017...lkn iliniacha nikiwa nimefilisika.. Pesa zilikata na biashara nikafunga.

Baadae mwaka 2018 kuna tajiri mmoja akaniajiri kusimamia maduka yake.. Posho yake haikuwa kubwa lkn ilikuwa inatosha kuhudumia familia.. Biashara ile nilijtahidi kui-manage vizuri na kusema kweli ilikuwa inaendelea vizuri na tajiri nilikuwa naelewana naye sana! Tatizo lilikuwa watoto wake, walianza kuniingilia sana kwenye majukumu yangu.. Wanachukua vitu hawalipi, wanawanyanyasa wauzaji.. Kwa ustaarabu na heshima niliyokuwa nayo na Yule mzee nikaamua kuacha kazi..

Mwaka 2019 mwishoni akanibembeleza yule tajiri akanipeleka mkoani kwenda kusimamia ujenzi. Nikaenda, kule nikasimamia majengo matatu ya nyumba za kulala wageni na jengo moja la kupangisha. Nilisimamia mpaka kuanzisha hizo biashara mpaka zilipoanza ndo nikarudi kwangu mwaka 2021. Kipindi chote nikiwa huko pesa yote nilikuwa namtumia mke wangu atunze na zingine afanye matumizi...yaani nilikuwa hata nikipata laki 4 me ntabaki na elf 40 nyingine yote natuma nyumbani ili watoto wangu na mke wangu wasiteseke.

Niliporudi nyumbani kulikuwa na mabadiliko makubwa kwa mke wangu.. Kuanzia nidhamu, na hakukuwa na akiba ya pesa hata 500. Nilivyoona hayo mabadiliko nikaanza kufanya uchunguzi, nikagundua mke wangu ana uhusiano usiofaa na mwanaume mwingine.

Nikambana akakubali na kukiri nilimsamehe ingawa nilikuwa na maumivu makali Sana! Lkn msamaha wangu haukuwa na maana kwake, ndo kwanza alijiimarisha huko kwa huyo kijana.. Kumbuka wakati huo tulikuwa na watoto 5.

Nikaanza kuwindwa mm either nipotezwe au nitafutiwe kesi nikafungwe.. Na jaribio la kutaka kufungwa likafanyika kwa kusingiziwa kuiba hela za mke wangu.. Nikapelekwa police nikalazwa mahabusu kwa siku 6 baadae mahakamani.. Nashukuru mahakamani haki ilisimama upande wangu nikashinda.

Baada ya kesi ile sikutaka tena kuendelea kuishi hapo nyumbani.. Nikabeba suruali zangu na hati yangu ya nyumba nikaondoka nikaanza mchakato mpya kabisaa wa maisha km kijana anayebalehe. Tangu niondoke hapo kwangu mwezi October mwaka 2021, sijawahi kukanyaga hapo nyumbani kwangu wala kuongea na huyo mwanamke. Watoto huwa nawafuata shuleni kwenda kuwaona na kuwasaidia nnachoweza.

Nimekaa single tangu wakati huo.. Mwaka jana nilipata shida ya kuumwa jicho na madaktari walihisi ule uvimbe unaweza kuwa saratani.. Kwa kuogopa saratani kuna mdada nilikuwa nadate naye.. Nikamuomba aje tuishi pamoja..nikihofia naweza kufa kibudu.. Mwezi wa 11 mwaka jana akaja tukaanza kuishi pamoja..!

Baadae baada ya vipimo sikuwa na saratani nilikuwa tu na kidonda katikati ya jicho.. Siku ya tarehe 12 mwezi huu yaani jtatu iliyopita. Niliitwa shuleni kwa mtoto wangu anayesoma kigamboni..! Nimeondoka nyumbani tukiongea vizuri tu na mwenzangu...wakati nashuka kwenye gari kuelekea shule kwa mtoto kuna dogo pale nnapoishi akanitext akaandika tu father.. Me nikampigia. Akaniuliza mbona umehama kimyakimyaa..!? Nikashangaa kuhama ki-vp!? Akaniambia huyu mama mbona ameleta toyo hapa na amepakia vitu na kuondoka!?

Nikamwambia mwizi huyo chukua bodaboda umzuie. Dogo hakufanikiwa.. Nikajaribu kumpigia yeye yule mwanamke hakupokea na baadae akazima kabisaa simu mpaka leo.. Me nikaenda shule kuongea na mkuu wa shule akaniruhusu nirudi Kwanzaa kupambana na hili.. Maana kichwa hakikuwa sawa.

Niliporudi nyumbani alikuwa amebeba kila kitu cha maana.. Hela yote ya akiba tuliyokuwa nayo ndani.. Vyombo, kitanda na godoro, gas, TV mpaka na king'amuzi. Yaani aliacha kabati tu la nguo..!!

Ndugu zangu nimekuja hapa kwa dhati kabisaa ya Moyo wangu mnisaidie nisidhalilike. Hivi nnavyoandika tangu asbh sijakula chochote nimejikuta mpaka natamani kujiua kwa magumu na mawazo niliyopitia hizi siku chache kuanzia Jumatatu.

Nisaidieni kibarua japo nipate vyombo na gas pamoja na chakula wakati nikijaribu kujitafuta tena! Nina hali ngumu sana na ninajichukia!

Naomba atakayewiwa anaweza kunisaidia kibarua kwa number 0755385918.

Natanguliza shukrani.
Mungu akafanye njia pasipo na njia
 
Ni point umezungumza kuwa “simameni kiume muone kama wanawake watawakalia kichwani”.

Nakubaliana na wewe 💯 matatizo haya yanasababishwa na sisi wenyewe wanaume. Kimaumbile mwanaume ni mtawala ila cha ajabu familia nyingi mtawala ni mwanamke, popote utapoona matoto hayana adabu hapo ujue baba kafeli ni familia inaongozwa na mama.
cheki wababa waliozaliwa miaka ya 70kushuka nyuma...wana sauti kwa nyumba zao..kuja kuanzia 80's..hopeless...ukikomaa mwanamke anarud chini
 
usikae ndani tembea utapata mwanga..au rudi kwa tajiri yako kamuangukie
Hapa penyewe nipo ilala, na nnatembea kurudi nyumbani. Nauli 600 Sina. Mfukoni nna 200. Kuhusu tajiri yangu mbona nimeshajibu sana!? Ni mgonjwa na hayupo hapa nchini.. Km angekuwepo huyo hata hapa nisingekuja!
 
Unampaje mkeo hela yote mzee ??? Najua ni mapenzi ila mwanaume unastahili kuwa na akiba tena ya siri sana unaweka. Us8kubali kukaa kizembe na jinsia ile bro serikali upenduliwa muda wowote. Na hela ndio defence yako . Mkeo mpe kiasi tu na kisipite 30% of your income , hyo ny8ngine invest in your future.
Mwisho wanaume wacheni kuwa wawazi sana na wake zenu, namaanisha ficheni udhaifu wenu, mkeo asikuzoee sana. Mke wangu anajua nampenda ila pia anaamini nina roho mbaya yakikatili nikitaka , kama ni ufuska labda akaufanye mbeya nikiwa dar sio hapa mjini , ni muhimu uume wako ujulikane .
Ww ni baba, ngoma ya wanao na wazazi wako , ukisema kitu hata bila hasira inafaa kieleweke ndio sheria , usilete demokrasia kwa nyumba yako itapotea mazima
 
Ndugu zangu,

Wanajamvi, umofia kwenu,

Ndugu zangu me ndugu yenu nimezingirwa nipo katikati ya maisha na mbinguni.

Naomba nijieleze kidogo.

Ndugu zangu me member hapa tangu mwaka 2013, ni zaidi ya miaka 10 sasa. Tangu niwe hapa sijawahi kulumbana na mtu, kugombana, kumfanyia fitina au kumtapeli mtu yeyote. Kama kuna yeyote niliwahi kumfanyia chochote kibaya iwe hapa au kwingineko anaweza kuniumbua hapa.

Ndugu zangu me nilioa tangu mwaka 1998 nikiwa mkoani.. Baadae mwaka 2007 nikahamia dar kutafuta maisha zaidi na wakati huo tayari tulikuwa tumejaaliwa watoto 3. Mambo hayakuwa km nilivyotarajia, mambo yalikuwa magumu haswa lkn km mwanaume nilipambana kuhakikisha maisha yanaendelea.

Nilijtafuta mpakaa kufikia mwaka 2010 mambo ndo yakaanza kukaa vyema..! Biashara niliyokuwa nafanya wakati huo iliniendea vizuri sana! Kiufupi kuanzia huo mwaka 2010 mpaka 2017. Nilikuwa nimefanikiwa kwa kiasi ukilinganisha na nilikotoka...mwaka 2014 nilifanikiwa kununua sehemu iliyokuwa na slop mbili.. Moja ya vyumba 3 na nyingine ya vyumba 2. Kwa milioni 14 na bank nilikuwa na zaidi ya milioni 30.

Mwaka 2015 nikaibomoa ile slop ya vyumba 3 nikaanza kujenga nyumba kubwa.. Ile slop ya vyumba 2 nikaiacha.. Nilinyanyua nyumba ya vyumba 3 vya kulala.. Nyumba ilikamilika ujenzi wake mwaka 2017...lkn iliniacha nikiwa nimefilisika.. Pesa zilikata na biashara nikafunga.

Baadae mwaka 2018 kuna tajiri mmoja akaniajiri kusimamia maduka yake.. Posho yake haikuwa kubwa lkn ilikuwa inatosha kuhudumia familia.. Biashara ile nilijtahidi kui-manage vizuri na kusema kweli ilikuwa inaendelea vizuri na tajiri nilikuwa naelewana naye sana! Tatizo lilikuwa watoto wake, walianza kuniingilia sana kwenye majukumu yangu.. Wanachukua vitu hawalipi, wanawanyanyasa wauzaji.. Kwa ustaarabu na heshima niliyokuwa nayo na Yule mzee nikaamua kuacha kazi..

Mwaka 2019 mwishoni akanibembeleza yule tajiri akanipeleka mkoani kwenda kusimamia ujenzi. Nikaenda, kule nikasimamia majengo matatu ya nyumba za kulala wageni na jengo moja la kupangisha. Nilisimamia mpaka kuanzisha hizo biashara mpaka zilipoanza ndo nikarudi kwangu mwaka 2021. Kipindi chote nikiwa huko pesa yote nilikuwa namtumia mke wangu atunze na zingine afanye matumizi...yaani nilikuwa hata nikipata laki 4 me ntabaki na elf 40 nyingine yote natuma nyumbani ili watoto wangu na mke wangu wasiteseke.

Niliporudi nyumbani kulikuwa na mabadiliko makubwa kwa mke wangu.. Kuanzia nidhamu, na hakukuwa na akiba ya pesa hata 500. Nilivyoona hayo mabadiliko nikaanza kufanya uchunguzi, nikagundua mke wangu ana uhusiano usiofaa na mwanaume mwingine.

Nikambana akakubali na kukiri nilimsamehe ingawa nilikuwa na maumivu makali Sana! Lkn msamaha wangu haukuwa na maana kwake, ndo kwanza alijiimarisha huko kwa huyo kijana.. Kumbuka wakati huo tulikuwa na watoto 5.

Nikaanza kuwindwa mm either nipotezwe au nitafutiwe kesi nikafungwe.. Na jaribio la kutaka kufungwa likafanyika kwa kusingiziwa kuiba hela za mke wangu.. Nikapelekwa police nikalazwa mahabusu kwa siku 6 baadae mahakamani.. Nashukuru mahakamani haki ilisimama upande wangu nikashinda.

Baada ya kesi ile sikutaka tena kuendelea kuishi hapo nyumbani.. Nikabeba suruali zangu na hati yangu ya nyumba nikaondoka nikaanza mchakato mpya kabisaa wa maisha km kijana anayebalehe. Tangu niondoke hapo kwangu mwezi October mwaka 2021, sijawahi kukanyaga hapo nyumbani kwangu wala kuongea na huyo mwanamke. Watoto huwa nawafuata shuleni kwenda kuwaona na kuwasaidia nnachoweza.

Nimekaa single tangu wakati huo.. Mwaka jana nilipata shida ya kuumwa jicho na madaktari walihisi ule uvimbe unaweza kuwa saratani.. Kwa kuogopa saratani kuna mdada nilikuwa nadate naye.. Nikamuomba aje tuishi pamoja..nikihofia naweza kufa kibudu.. Mwezi wa 11 mwaka jana akaja tukaanza kuishi pamoja..!

Baadae baada ya vipimo sikuwa na saratani nilikuwa tu na kidonda katikati ya jicho.. Siku ya tarehe 12 mwezi huu yaani jtatu iliyopita. Niliitwa shuleni kwa mtoto wangu anayesoma kigamboni..! Nimeondoka nyumbani tukiongea vizuri tu na mwenzangu...wakati nashuka kwenye gari kuelekea shule kwa mtoto kuna dogo pale nnapoishi akanitext akaandika tu father.. Me nikampigia. Akaniuliza mbona umehama kimyakimyaa..!? Nikashangaa kuhama ki-vp!? Akaniambia huyu mama mbona ameleta toyo hapa na amepakia vitu na kuondoka!?

Nikamwambia mwizi huyo chukua bodaboda umzuie. Dogo hakufanikiwa.. Nikajaribu kumpigia yeye yule mwanamke hakupokea na baadae akazima kabisaa simu mpaka leo.. Me nikaenda shule kuongea na mkuu wa shule akaniruhusu nirudi Kwanzaa kupambana na hili.. Maana kichwa hakikuwa sawa.

Niliporudi nyumbani alikuwa amebeba kila kitu cha maana.. Hela yote ya akiba tuliyokuwa nayo ndani.. Vyombo, kitanda na godoro, gas, TV mpaka na king'amuzi. Yaani aliacha kabati tu la nguo..!!

Ndugu zangu nimekuja hapa kwa dhati kabisaa ya Moyo wangu mnisaidie nisidhalilike. Hivi nnavyoandika tangu asbh sijakula chochote nimejikuta mpaka natamani kujiua kwa magumu na mawazo niliyopitia hizi siku chache kuanzia Jumatatu.

Nisaidieni kibarua japo nipate vyombo na gas pamoja na chakula wakati nikijaribu kujitafuta tena! Nina hali ngumu sana na ninajichukia!

Naomba atakayewiwa anaweza kunisaidia kibarua kwa number 0755385918.

Natanguliza shukrani.
Pole sana usijiue kwa ajili ya watoto wako

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu,

Wanajamvi, umofia kwenu,

Ndugu zangu me ndugu yenu nimezingirwa nipo katikati ya maisha na mbinguni.

Naomba nijieleze kidogo.

Ndugu zangu me member hapa tangu mwaka 2013, ni zaidi ya miaka 10 sasa. Tangu niwe hapa sijawahi kulumbana na mtu, kugombana, kumfanyia fitina au kumtapeli mtu yeyote. Kama kuna yeyote niliwahi kumfanyia chochote kibaya iwe hapa au kwingineko anaweza kuniumbua hapa.

Ndugu zangu me nilioa tangu mwaka 1998 nikiwa mkoani.. Baadae mwaka 2007 nikahamia dar kutafuta maisha zaidi na wakati huo tayari tulikuwa tumejaaliwa watoto 3. Mambo hayakuwa km nilivyotarajia, mambo yalikuwa magumu haswa lkn km mwanaume nilipambana kuhakikisha maisha yanaendelea.

Nilijtafuta mpakaa kufikia mwaka 2010 mambo ndo yakaanza kukaa vyema..! Biashara niliyokuwa nafanya wakati huo iliniendea vizuri sana! Kiufupi kuanzia huo mwaka 2010 mpaka 2017. Nilikuwa nimefanikiwa kwa kiasi ukilinganisha na nilikotoka...mwaka 2014 nilifanikiwa kununua sehemu iliyokuwa na slop mbili.. Moja ya vyumba 3 na nyingine ya vyumba 2. Kwa milioni 14 na bank nilikuwa na zaidi ya milioni 30.

Mwaka 2015 nikaibomoa ile slop ya vyumba 3 nikaanza kujenga nyumba kubwa.. Ile slop ya vyumba 2 nikaiacha.. Nilinyanyua nyumba ya vyumba 3 vya kulala.. Nyumba ilikamilika ujenzi wake mwaka 2017...lkn iliniacha nikiwa nimefilisika.. Pesa zilikata na biashara nikafunga.

Baadae mwaka 2018 kuna tajiri mmoja akaniajiri kusimamia maduka yake.. Posho yake haikuwa kubwa lkn ilikuwa inatosha kuhudumia familia.. Biashara ile nilijtahidi kui-manage vizuri na kusema kweli ilikuwa inaendelea vizuri na tajiri nilikuwa naelewana naye sana! Tatizo lilikuwa watoto wake, walianza kuniingilia sana kwenye majukumu yangu.. Wanachukua vitu hawalipi, wanawanyanyasa wauzaji.. Kwa ustaarabu na heshima niliyokuwa nayo na Yule mzee nikaamua kuacha kazi..

Mwaka 2019 mwishoni akanibembeleza yule tajiri akanipeleka mkoani kwenda kusimamia ujenzi. Nikaenda, kule nikasimamia majengo matatu ya nyumba za kulala wageni na jengo moja la kupangisha. Nilisimamia mpaka kuanzisha hizo biashara mpaka zilipoanza ndo nikarudi kwangu mwaka 2021. Kipindi chote nikiwa huko pesa yote nilikuwa namtumia mke wangu atunze na zingine afanye matumizi...yaani nilikuwa hata nikipata laki 4 me ntabaki na elf 40 nyingine yote natuma nyumbani ili watoto wangu na mke wangu wasiteseke.

Niliporudi nyumbani kulikuwa na mabadiliko makubwa kwa mke wangu.. Kuanzia nidhamu, na hakukuwa na akiba ya pesa hata 500. Nilivyoona hayo mabadiliko nikaanza kufanya uchunguzi, nikagundua mke wangu ana uhusiano usiofaa na mwanaume mwingine.

Nikambana akakubali na kukiri nilimsamehe ingawa nilikuwa na maumivu makali Sana! Lkn msamaha wangu haukuwa na maana kwake, ndo kwanza alijiimarisha huko kwa huyo kijana.. Kumbuka wakati huo tulikuwa na watoto 5.

Nikaanza kuwindwa mm either nipotezwe au nitafutiwe kesi nikafungwe.. Na jaribio la kutaka kufungwa likafanyika kwa kusingiziwa kuiba hela za mke wangu.. Nikapelekwa police nikalazwa mahabusu kwa siku 6 baadae mahakamani.. Nashukuru mahakamani haki ilisimama upande wangu nikashinda.

Baada ya kesi ile sikutaka tena kuendelea kuishi hapo nyumbani.. Nikabeba suruali zangu na hati yangu ya nyumba nikaondoka nikaanza mchakato mpya kabisaa wa maisha km kijana anayebalehe. Tangu niondoke hapo kwangu mwezi October mwaka 2021, sijawahi kukanyaga hapo nyumbani kwangu wala kuongea na huyo mwanamke. Watoto huwa nawafuata shuleni kwenda kuwaona na kuwasaidia nnachoweza.

Nimekaa single tangu wakati huo.. Mwaka jana nilipata shida ya kuumwa jicho na madaktari walihisi ule uvimbe unaweza kuwa saratani.. Kwa kuogopa saratani kuna mdada nilikuwa nadate naye.. Nikamuomba aje tuishi pamoja..nikihofia naweza kufa kibudu.. Mwezi wa 11 mwaka jana akaja tukaanza kuishi pamoja..!

Baadae baada ya vipimo sikuwa na saratani nilikuwa tu na kidonda katikati ya jicho.. Siku ya tarehe 12 mwezi huu yaani jtatu iliyopita. Niliitwa shuleni kwa mtoto wangu anayesoma kigamboni..! Nimeondoka nyumbani tukiongea vizuri tu na mwenzangu...wakati nashuka kwenye gari kuelekea shule kwa mtoto kuna dogo pale nnapoishi akanitext akaandika tu father.. Me nikampigia. Akaniuliza mbona umehama kimyakimyaa..!? Nikashangaa kuhama ki-vp!? Akaniambia huyu mama mbona ameleta toyo hapa na amepakia vitu na kuondoka!?

Nikamwambia mwizi huyo chukua bodaboda umzuie. Dogo hakufanikiwa.. Nikajaribu kumpigia yeye yule mwanamke hakupokea na baadae akazima kabisaa simu mpaka leo.. Me nikaenda shule kuongea na mkuu wa shule akaniruhusu nirudi Kwanzaa kupambana na hili.. Maana kichwa hakikuwa sawa.

Niliporudi nyumbani alikuwa amebeba kila kitu cha maana.. Hela yote ya akiba tuliyokuwa nayo ndani.. Vyombo, kitanda na godoro, gas, TV mpaka na king'amuzi. Yaani aliacha kabati tu la nguo..!!

Ndugu zangu nimekuja hapa kwa dhati kabisaa ya Moyo wangu mnisaidie nisidhalilike. Hivi nnavyoandika tangu asbh sijakula chochote nimejikuta mpaka natamani kujiua kwa magumu na mawazo niliyopitia hizi siku chache kuanzia Jumatatu.

Nisaidieni kibarua japo nipate vyombo na gas pamoja na chakula wakati nikijaribu kujitafuta tena! Nina hali ngumu sana na ninajichukia!

Naomba atakayewiwa anaweza kunisaidia kibarua kwa number 0755385918.

Natanguliza shukrani.
Wewe ni mpumbavu.

Umetelekeza familia ukaenda kuishi na kimada ,amekuibia umekuja hapa kulia lia.

Tuanzie hapa, kipindi upo vizuri kiuchumi ulimsaidia nani? Iwe ndugu ,rafiki au mtu yeyote ?

Laana ya kutelekeza watoto imekutafuna
 
Ukakamavu pia una athari zake..! Yule tajiri angekuwepo sidhani hata hapa km ningekuja. Ni mgonjwa na hayupo hapa nchini.

Ukakamavu upi bro, acha kuwa mtu mwenye vijisababu vingi, huko ulikoikimbia familia yako kisa mke, ataingia mwanaume mwingine na kuchukua nfasi ya kujiita baba kwenye hiyo nyumba, atakua analala kwenye kitanda chako na mkeo na kuadhibu adhibu watoto wako, atakua anajifunga taulo lako na kutembea kifua wazi na kunyanyasa familia yako.
Yaani mwanaume unapaswa uilinde familia yako kwa namna yote, mimi bora nife nizikwe ila siwezi kumruhusu mwanaume aje aitawalefamilia yangu kwangu kwenye kitanda changu nikiwa hai, ayafanye baada ya kuniua.

Pambana acha vijisababu, rudi kwenye network zako, haiwezekani umefanya kazi zote hizo kusimamia biashara mbali mbali na hukuingia kwenye uhusiano na watu tofauti, changamka humo humo, wapigie simu tembeza CV yako, fight back......
 
Nikionaga mambo kama haya kwakweli hua namshukuru sana Mungu kwa kunionyesha mke anae faa.
Najiona mwenye bahati sana, sio kwa ujanja wangu bali ni kwa uwezo wa Mungu pekee.
Hakuna mtihani mgumu kama kupata mke anae faa ama mume anae faa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom