Msaada tutani; Nina hali ngumu sana, nisaidieni kazi niweze kujikwamua

Kuna vitu huwa nashindwa kuelewa, hivi mwanamke anaanzaje kuwa mtawala kwenye familia?

Yaani hadi mke anakushtaki mahakamani ukafungwe afu bado unapata nafasi unashinda kesi afu unasusa nyumba yako???
Be a man.
Mkuu inategema ''ntu na ntu''. Kuna wanawake jeuri hujapata kuona. Yuko tayari mzipige pale Mwenge stendi na wote nguo ziwavuke. Kwa hali kama hii unaona utaonekana kichaa, unaamua kukaa kimya.
 
Wakuu nimepata maoni mengi ambayo na mm km binadamu nitaendelea kuyachakata ili kupata suluhisho..! Lkn me kwa sasa tatizo langu ni kutibu njaa.. Mwenye kibarua chochote aniambie nije kupiga kazi nipate kuishi...!
Kipo cha kutafuta masoko ya mavazi, mshahara = 70,000 + 5% ya mauzo
 
Ujuzi na kipi unawaza kukifanya kinafaa zaidi ukikieleza babu

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Sina ujuzi lkn nna uzoefu na weledi mkubwa wa kufanya stock taken, duka Lolita. Usimamizi wa biashara hata kuuza.. Na kwa wale wenye changamoto za muda, labda yupo busy na anataka kufanya kitu kingine lkn jamaa zake au ndugu zake siyo waaminifu, anaweza kunitumia mm. Uaminifu kwangu ni 100%. Hata km una ujenzi umekosa mtu wa kusimamia mafundi naiweza sana hiyo kazi..
 
Kuna ndugu yangu naye kapata mtihani kama wako, yeye wameishi miaka 35 ya ndoa sasa hivi kabakia hana hata mia yuko upareni anakula kwa dada yake. Tatizo watu wanaogopa kupeana talaka kwa the so called mali. Huyo mwanamke ndie alitakiwa aindoke hapo home maana makosa ni yake sio wewe. Kwanza unatakiwa uachane na huyo mwanamke kisheria na sio kukimbia, baadae atakuja kukusumbua . Natumaini kazi utapata na maisha yatasonga. Kuanzia leo ukipata hela tunza mwenyewe hata mama yako usimpe hela akutunzie
 
Pole sana mkuu
Sijui itakuwaje siku nikimfuma mkewangu anachepuka
 
Kwa nini unadhani kumfukuza yeye ni Rahisi!? Mkuu mambo hayo yanawezekana vijijini siyo hapa mjini.. Utamfukuza anagoma kuondoka anafungua kesi ya talaka unaanza kupambana mahakamani, ikiisha anafungua madai.. Kumbuka nimeishi naye zaidi ya miaka 20. Unadhani yeye hana haki kwenye hiyo nyumba hata km nilijenga kwa hela zangu!?? Nimeepusha migogoro ili kuwafanya watoto waendelee kusoma kwa utulivu.. Mm siyo mjinga mkuu.. Na haina maana kwamba kwa vile nimekuja hapa nikiwa nimetingwa basi sina akili kabisaa!
wanaume wenzako humu wanabwabwaja tu...hakuna kitu ngumu kama mambo hayo ya talaka n the like esp kama ulifunga ndoa kikirsto mkuu...mie nakuelewa .ni ngumu sana mwanamke kjmuondoa hapo .atakigeuzia kesi mfikishane kata na dawati la jinsia ukose mwana na maji ya moto....wewe pambana ujenge nyumba nyingine uoe
 
Kuna vitu huwa nashindwa kuelewa, hivi mwanamke anaanzaje kuwa mtawala kwenye familia?

Yaani hadi mke anakushtaki mahakamani ukafungwe afu bado unapata nafasi unashinda kesi afu unasusa nyumba yako???
Be a man.
tembea uonemkuu...kati ya nyumba 50 nyumba 35 wenye sauti ni wanawake kwasababu uanaume wenu mnaupoteza kila siku....wanatake charge.. simameni kiume muone kama wanawake watawakalia kichwani
 
Wakuu nimepata maoni mengi ambayo na mm km binadamu nitaendelea kuyachakata ili kupata suluhisho..! Lkn me kwa sasa tatizo langu ni kutibu njaa.. Mwenye kibarua chochote aniambie nije kupiga kazi nipate kuishi...!
point iko hapa hiwezi shindana na mwanamke ssongambele .nyumba wanao acha waishi na mama yao wewe songa mbele kama injili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom