Take Care bro! Nakushauri tu never touch a married woman.kama unayo hiyo tabia ipo 40 yako.Ungefanya nini wewe unasema tu hapa
Wewe utafanya nini ushasema akijisaficha baada ya kuliwa' huna shida nae nini kingine?Take Care bro! Nakushauri tu never touch a married woman.kama unayo hiyo tabia ipo 40 yako.
Nashangaa hawa watoto wanabwata nini wakati humu huwa mnawashauri wakanze maisha upya,nyie ni ndumila kuwiliKama kuna mtu umewahi kuishi na mwanamke na maisha yako yakayumba, mwanamke akawa jeuri kwako na nidhamu yake ikashuka, hakuna kitu mwanaume unakifeel zaidi ya kumpasua kama sio kuua.
Its better uondoke huku ukijua una security ya mali hizo kuliko kuendelea kuishi nae.
Mola amjaalie wampatie kazi amina.
Yeah,ila wapo watakufanya kitu so relaxWewe utafanya nini ushasema akijisaficha baada ya kuliwa' huna shida nae nini kingine?
Nashukuru kwa maoni yako mkuuUshauri wa kiume, uza nyumba ulionayo, upate mtaji na mambo mengine yaweze kwenda
Unaona mbali sana mkuu..! Lkn mbali na hilo hata ww anaweza kukuua kwa urahisi sana!Kama kuna mtu umewahi kuishi na mwanamke na maisha yako yakayumba, mwanamke akawa jeuri kwako na nidhamu yake ikashuka, hakuna kitu mwanaume unakifeel zaidi ya kumpasua kama sio kuua.
Its better uondoke huku ukijua una security ya mali hizo kuliko kuendelea kuishi nae.
Unahisi ni chaguzi sahihi alioifanya?.Sababu ya kunusuru Maisha yake na Maisha ya mke na watoto, asije akachoma nyumba na mke na watoto yeye mwenyewe wote wakiwa ndani wakose wote
Kuleta hapo mwanaume hawezi.. Na hata wakati ule siyo kwamba alikuwa analeta hapo hapana! Watoto pia ni wakubwa.. Mtoto wa kwanza ambaye amemaliza chuo mwaka jana yupo hapo na ni kijana mkubwa wa miaka 25. Hawezi kuleta mwanaume hapo nyumbani...Kwa hiyo wewe unaweza kimbia nyumba uliyoijenga wewe alafu mwanaume mwingine aingie na akupigie mkeo kwenye kitanda chako ?
Ushawahi kumpiga mkeo?Unahisi ni chaguzi sahihi alioifanya?.
Tekeleza huo uamuzi, ndio sahihi; hiyo nyumba ishakuwa ya balaa, uza jenga sehemu nyingine uanze maisha upya, muhimu ni kuwa karibu na watoto, ila na wao kama wamelishwa fitina na mama yao, achana nao uangalie mbele.Nashukuru kwa maoni yako mkuu
Mkuu Unaamini uwepo wa nguvu za giza ??Wewe ni karibia ningekuita baba lakini najikuta nakudharau kwa mambo fulani.
Unampaje mwanamke hela zote au nyingi akutunzie?
Uliporudi nyumbani ukakuta mabadiliko ya kipumbavu uliyavumiliaje badala ya kuchukua hatua nzitonzito?
Ulipokimbia nyumbani wakati huohuo mke wako mliyeishi miaka mingi kakupotezea hela nyingi na kaanzisha mahusiano na kijana ulikuwa na maana gani?
Unataka tukuonee huruma wakati unatia hasira kulikoni?
Yani wewe mzee hata ukiwaeleza watoto wako wanaokupendahali halisi watapandwa na hasira na kujiuliza huyu ni baba gani?
Yani unakomaa huko kwenye kazi za kuajiriwa unamtumia mama mshahara wote alafu urudi nyumbani ukute mauzauza tena anagawa nje alafu badala utumie mamlaka yako unaamua kukimbia nyumbani, serious tena anaenda kutafuta mwanamke mwingine uishi nae?
Pumbav
nisingeondoka kwangu nimuache mwanamke malaya aishi kwenye nyumba yangu hiyo haipo.... angesepa yeye hafu wanangu ningewatunza kwa namna yoyote ile hv unaachaje nyumba yako aitawale mwanamme mwngne watoto wako wanajifunza nn kwa huyo mwanamme mpya hapo home umekosea rudi home fukuza hiyo mbwaa toa option mtoto anayetaka asepe na mama ake... oa tena unakimbia nyumba!!!? hii inshu ipo sana kwa wasukumaNadhani hata wewe mwenyewe huelewi ulichoandika.. Umewafikiria watoto wangu 3 ambao walikuwa bado wadogo na wapo shule!? Unadhani ningemfukuza mama yao angeondoka tu na kuridhika kufukuzwa kwake!? Niliangalia sana maisha ya wanangu.. Mwanamke hata akiwa Malaya lkn atajali kuhusu watoto wake.
Nilimuacha hapo ili kuweka utulivu wa wanangu.. Na wanaendelea vyema! Lkn nashukuru kwa maoni yako.
arudi home akafukuze hiyo mbwa eti anasema watoto wapate utuluvu , utulivu upi...huyu jamaaa anataniaBro, sijui uncle. Maana roughly umezaliwa miaka ya 70.
Hakuna huruma kwa mwanamke msaliti. Mimi nna roho mbaya sana, kwenye jambo kama hilo acha tu watoto wateseke, siwezi kukimbia nyumba yangu niliyoijenga kwa pesa yangu, NEVER.
Hao watoto wangekaa hapo hapo na dada wa kazi, mwanamke ningefukuza.
Rudi home kafukuze huyo mwanamke.
Mimi ni mwanamke lakini siwezi kumpa hela mtu yoyote anitunzie. Hizi tabia za kuamini watu inabidi watu waachane nazo.Una tatizo la kushindwa kujitunzia pesa zako mwenyewe? Bank, Mpesa , tigo pesa etc?
Siku nyingine usirudie makosa haya ya wazi Kabisa. Mwanaume ni kiongozi, yeye ndio anajua anaingiza shingapi na atoe shingapi apeleke wapi au itumike vipi.
Pole.