Msaada tafadhali

jamaajamii

Member
Apr 19, 2015
70
6
Natafuta mwanamke humu kwa ajili ya mahusiano ya muda mrefu ya kimapenzi.

Awe na umri usiozidi miaka 35.

Awe ni mtanzania anayeishi Dar au awe anapenda kuishi Dar.

Awe hajaolewa wala juzaa.

Mwenye sifa hizo

Karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom