Msaada tafadhali: Natafuta Ngariba wa kumtahiri mwanangu...

Baba,hapa inakuwaje?
Achana na mambo ya kizaman bwana!
Mpeleke mdogo wangu hospitalin,kwann maumivu uliyopata ww na mtoto aonje?
Kuwa na huruma baba!!

Mwanangu najua kadogo kako katapata maumivu, lakini unajua athari za kutahiri Hospitalini katakuwa legelege, nataka kakomae na kajue nini maana ya uanaume...............!
 
Mwanangu najua kadogo kako katapata maumivu, lakini unajua athari za kutahiri Hospitalini katakuwa legelege, nataka kakomae na kajue nini maana ya uanaume...............!
Sikubalianai na ww hapo baba,leo itabidi unisamehe tu!
Unauhakika gani maumivu hayo ataendelea kuyakumbuka na hata kutokuwa legelege?
Baba maumivu amabyo hataweza kuyavumilia na ataishia kulia au hata kupata homa yanahusiana vp na ukomavu?
Kwa umri wake amabo hata haelewi maana ya ukomavu au ulegelege maumivu hayo yatamsaidiaje?
Acha ukalitili baba.
 
Mwache mtoto atatahiri mwenyewe akikua mbona mimi nilitahiri na miaka 35 tena nilisindikizwa na mke wangu!
 
Sikubalianai na ww hapo baba,leo itabidi unisamehe tu!
Unauhakika gani maumivu hayo ataendelea kuyakumbuka na hata kutokuwa legelege?
Baba maumivu amabyo hataweza kuyavumilia na ataishia kulia au hata kupata homa yanahusiana vp na ukomavu?
Kwa umri wake amabo hata haelewi maana ya ukomavu au ulegelege maumivu hayo yatamsaidiaje?
Acha ukalitili baba.

Mwanangu haya mambo sio ya kubishana hatharani, ngoja ukirudi nyumbani leo jioni tutazungumza
na kufikia muafaka.........
 
Nadumisha mila bana....................Mbona mie nilitahiriwa kavu kavu na si kufa!?
Huo ndio uanaume................

huo sio utu bwana mbona wewe ulitembea kwa miguu bila viatu wakati unasoma inamaana unataka dogo naye apige bila kiatu kisa wewe ulipiga mguu kwenye ardhi..? mpeleke dogo hosp bwana..!
 
NIna wasiwasi ulipigwa nusu kaputi..........................
Hahahahaha hapana Mkuu, yule nesi alikuwa ananichezea sana na maneno yake matamu,akawa ananiambia nikiwa mkubwa nitamuoa yeye kwasababu alikuwa hajaolewa,kwahiyo sharti alilonipa ni kwamba nicheke na wala nisilie,nikilia tu basi hatokubali kuolewa nami. Nalog off
 
Mkuu kwa vilio hivi...chonde chonde legeza uamuzi wako lengo na madhumuni. Baada ya kusema hayo basi naamini utampeleka huyu dogo kuleeee wanakotumia njia za kisasa na salama kabisa...dogo atakuwa anapiga miluzi huku fimbo unachongwa.:A S-coffee:

Baba,hapa inakuwaje?
Achana na mambo ya kizaman bwana!
Mpeleke mdogo wangu hospitalin,kwann maumivu uliyopata ww na mtoto aonje?
Kuwa na huruma baba!!
 
Kuna ngariba mmoja mzuri sana,tena sana na sana anaitwa "BUJIBUJI" alishawai kumtaili kijana wangu
Mdogo wake Ngina anatimiza miaka 4 tarehe 9 Decemba, kwa kuwa tarehe hiyo nchi yetu inatimiza miaka 50 tangu ipate uhuru, nimeazimia nimtahiri mwanangu kwa kufuata mila na desturi za kiafrika. Natafuta Kibabu ambacho kina taaluma ya ungariba ili kimtahiri mwanangu kavu kavu, ili kawe kama mimi baba yake.

Mwenye kumfahamu Ngariba yeyote hapa jijini Dar, basi anijuze kwa kunipa namba yake ya simu.
 
Kuna ngariba mmoja mzuri sana,tena sana na sana anaitwa "BUJIBUJI" alishawai kumtaili kijana wangu

Mbona Bujibuji ndiye wa kwanza kunishauri nimpeleke dogo hospitali, au ulikuwa unamaanisha kaka yake Bujibuji?
 
Huo mvule bado haujakua kiasi cha kutosha, mwache afikiche japo miaka sita.

Afu ngariba wa wakurya hapana, itakuwa kama mhogo, kidogo hapa huwa utata, wamasai sijui.

Nenda hospitali ila wasimvike ring wafanye kizamani na kushona, vinginevyo heshima itashuka.
 
Huo mvule bado haujakua kiasi cha kutosha, mwache afikiche japo miaka sita.

Afu ngariba wa wakurya hapana, itakuwa kama mhogo, kidogo hapa huwa utata, wamasai sijui.

Nenda hospitali ila wasimvike ring wafanye kizamani na kushona, vinginevyo heshima itashuka.

Bado natafakari, lakini ningefarijika sana iwapo mwanangu kidume angetahiriwa na ngariba tena kwa kisu,.................Nyie hamjui tu, ule ndio uanaume bana......................
 
ni kweli kwa ngariba anaonekana kijana kawa mtu mzima na kakomaa sasa.
Lakini,
awe anajua fleva iliyoko sokoni, sio vanila tu siku hizi babu wanataka strawberry, afu si nyingi ki vile mitaani.

Pia bado mdogo subiri awe 13 at least, ma shangazi wa hiari tutakuja kumtuza.

Bado natafakari, lakini ningefarijika sana iwapo mwanangu kidume angetahiriwa na ngariba tena kwa kisu,.................Nyie hamjui tu, ule ndio uanaume bana......................
 
Cantalisia, mwache baba yako amfundishe mtoto uchungu akiwa mdogo,
hivi umemuuliza asije akawa anatahiri wakike ndo maana anaogopa hosp
naanza kuwa na wasiwasi,
Mkuu vipi hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom