Shedafa
JF-Expert Member
- May 21, 2008
- 802
- 173
Wandugu toka asubuhi ya leo nimeshindwa kufungua site yoyote ya kidunia, ikiwa ni pamoja na social networks zote. Nimejaribu kufungua site za wizara, serekali na hata voda na tigo zinafunguka bila tatizo. Ila hakuna yahoo, jamiiforums wala michuzi. Naomba msaada tatizo litakuwa nini!.