slot yako ya memory card ipo fresh?Wakuu naombeni msaada wa ushauri...natumia HTC Desire...nimejaribu kuweka memory card 4 mpaka sasa zote zinakataa kusoma.
Tatizo ni nini?
make sure hiyo memory card ipo kwenye format ya fat 32I think iko sawa, kuna memory card ya zamani natumia iko sawa, ila nikibadili nyingine haitaki kusoma