Jamani niliugua kitu kinafanana na red eyes,, mishipa ikion jua ikawa inauma sana. Nikaenda hapa Bugando polyclini near Mwanza nikapimwa nikapewa daw ya maji..nimetumia ika wa unafuu ikawa hakuna.
Baadaye nikapewa dwa za maumivu nikameza ikawa Ile Hali ya maumivu ya misuri ikawa imeisha. Lakini sasa ghafla kuanzia Jana macho hayawezi kuona ..yaani tv ikiwa mita kumi kutika kwangu siwezi kuona clearly picha Wala maandishi.
Je, kuna mwenye uzoefu wa hili tatizo na ukufabya je kukabiliannalo.
Naomba ushari
Baadaye nikapewa dwa za maumivu nikameza ikawa Ile Hali ya maumivu ya misuri ikawa imeisha. Lakini sasa ghafla kuanzia Jana macho hayawezi kuona ..yaani tv ikiwa mita kumi kutika kwangu siwezi kuona clearly picha Wala maandishi.
Je, kuna mwenye uzoefu wa hili tatizo na ukufabya je kukabiliannalo.
Naomba ushari