Habari wanajf,
Kuna kitu kinanishangaza katika ugongwa huu wa macho ambao umezoeleka kama red eyes,nikiwa kama mmoja wa niliopata tatizo hili tena kwa mara ya kwanza toka nimeanza kuusikia au kuona watu wakiumwa macho.
Kinachonitatiza au swali langu kwa mwenye kujua ni kwamba,kwanini kila mtu anayeanza kuumwa macho ataanza na jicho la kushoto?
Nimefikia kuamini kuwa mgongwa anaanza kuumwa jicho la kushoto kwani mimi lilianza hivyo,mdogo wangu naye ikawa hvyo,kuna majirani kama wanne hivi nao wameanza na jicho la kushoto!Je wakuu imani yangu hii ni sahihi?
Je, kuna uchunguzi wowote wa kisayansi uliothibitika km ni kweli mgonjwa huanza kupata madhara ktk jicho la kutosha?
Nawasilisha.
Kuna kitu kinanishangaza katika ugongwa huu wa macho ambao umezoeleka kama red eyes,nikiwa kama mmoja wa niliopata tatizo hili tena kwa mara ya kwanza toka nimeanza kuusikia au kuona watu wakiumwa macho.
Kinachonitatiza au swali langu kwa mwenye kujua ni kwamba,kwanini kila mtu anayeanza kuumwa macho ataanza na jicho la kushoto?
Nimefikia kuamini kuwa mgongwa anaanza kuumwa jicho la kushoto kwani mimi lilianza hivyo,mdogo wangu naye ikawa hvyo,kuna majirani kama wanne hivi nao wameanza na jicho la kushoto!Je wakuu imani yangu hii ni sahihi?
Je, kuna uchunguzi wowote wa kisayansi uliothibitika km ni kweli mgonjwa huanza kupata madhara ktk jicho la kutosha?
Nawasilisha.