KWETU PAZURI
Senior Member
- Oct 14, 2011
- 161
- 26
Wadau, nini maana ya HTTP na HTTPS ambayo yanajiandika kwenye address bar pindi unapofungua website,maana kila nnapofungua account yangu ya facebook na gmail huwa inaandika HTTPS lkn nnapofungua website nyingine inandika HTTP,